Arusha: Polisi wasema Nabii Abraham Peter alinyofolewa viungo vya sehemu za siri baada ya kuuawa

Arusha: Polisi wasema Nabii Abraham Peter alinyofolewa viungo vya sehemu za siri baada ya kuuawa

Kweli kifo ni fumbo gumu hadi nabii hakuweza kutabiri..

Mungu atusaidie[emoji120][emoji120]
 
Kitendo cha kumnyofoa viungo vya siri vinafanya kususpect ajari kukome.
Kuna watu wamefanya jinai.
 
Anahusika. Nani alimpa huo uchungaji kama siyo tumbo lake?
Hivi unamfahamu vizuri Mwakasege au unatumia tu haki yako ya kutoa maoni?

Nani amekwambia kua ni mchungaji? Maana naona unapinga tu na kuonesha chuki ya wazi. Ebu tumegee kidogo vile unamfahamu na amekufanya nini? Hapa hakuna story za umesikia watu wanasema ama nini!!

Karibu kiongozi!!
 
Haya manabii ya uongo ni ya kuua. Heri hawa wangeunda genge la kumaliza haya matapeli ya kiroho kama akina Gwajima, Lusekelo, Mwakasenge, Gamanywa, Kakobe na mengine.
Acha kuongea vitu ambavyo huvijui kilaza wewe utavimba mdomo huo hivi unawajua vizuri uliowataja hao???!! Nenda kabinue matako msikitin wewe
 
nabii anauwa na kiutupwa hahaa , hakuweza kuwaadhibu watesi wake kwa maombi, duh hizi biashara hizi hahaaa
Ndio fikra zako zilipoishia hapo??!!🙄🙄🙄 mbona mashehe wako wanakufa misikitin hawajizuii??!!wewe ni kilaza
 
Jiwe ndo aliitaka polisi ya hivyo.
Baada ya jiwe kufa sasa polisi wako vizuri eti ee?

Jamani hivi miezi tisa toka jiwe afariki inatimia lini?

Mana kuna watu wana mimba zake wanateseka sana
 
Acha kuongea vitu ambavyo huvijui kilaza wewe utavimba mdomo huo hivi unawajua vizuri uliowataja hao???!! Nenda kabinue matako msikitin wewe
Kwa vile wewe ni choko, sina cha kuongeza. Machoko ndivo mlivo. Ungejua kuwa huku mskitini sikujui wala usingeharisha kwa kinywa
 
Kifo hakikosi sababu!

Ina maana mpaka sahvi hso wauaji wako uraiani

Wanaweza wakatenda tena unyama

Ova
 
ajali tu ya barabarani?" Alisema.
Ajali za Tanzania zinachekesha mno, unapata ajali unanyofoka naniliu peke yake kisha wasamaria wema wanakuchukua hadi lango LA hospital na kukuacha ujifie hapo.

I am convinced kwamba Simbachawene alikua na yuko sahihi
 
Kwa vile wewe ni choko, sina cha kuongeza. Machoko ndivo mlivo. Ungejua kuwa huku mskitini sikujui wala usingeharisha kwa kinywa
Kidole cha kati kinakuhusu matako wewe usiongee ambacho hukujui wewe tachekwa🙄🙄
 
Back
Top Bottom