Arusha: Rais Samia atoa TZS 520BL sawa na 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka

Kodi tunazotozwa wavuja jasho kwenye kodi, tozo za kihuni na kila namna iwayo siku hizi zinaitwa pesa za Rais Samia. Hatari sana, wanasiasa kwenye pesa na maslahi mengine hawana aibu kama wadada wanaojiuza wanapoelewana na wateja wao.
 
 
Kodi tunazotozwa wavuja jasho kwenye kodi, tozo za kihuni na kila namna iwayo siku hizi zinaitwa pesa za Rais Samia. Hatari sana, wanasiasa kwenye pesa na maslahi mengine hawana aibu kama wadada wanaojiuza wanapoelewana na wateja wao.
 
 
Kodi tunazotozwa wavuja jasho kwenye kodi, tozo za kihuni na kila namna iwayo siku hizi zinaitwa pesa za Rais Samia. Hatari sana, wanasiasa kwenye pesa na maslahi mengine hawana aibu kama wadada wanaojiuza wanapoelewana na wateja wao.
Soma hapa vizuri
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Kaziiendelee
 
Kodi tunazotozwa wavuja jasho kwenye kodi, tozo za kihuni na kila namna iwayo siku hizi zinaitwa pesa za Rais Samia. Hatari sana, wanasiasa kwenye pesa na maslahi mengine hawana aibu kama wadada wanaojiuza wanapoelewana na wateja wao.
 
Rudi shule ukajifunze propaganda, huo mradi ni wa enzi za JK, tena dhalimu alitaka kupora hizo hela apeleke huo mradi kanda ya ziwa, watoa mkopo wakamgomea. Katafuteni wajinga wasiojua lolote ndio uwalishe hii propaganda mfu.
daaah
 
Shule mnaenda kusomea ujinga.

Hakuna mbunge mwenye hela za kuleta maji wala barabara.

Samia kafanya wajibu kwasabab yy ndiye anakusanya kodi zetu. CHADEMA hawajawahi kuongoza serikali. Km Kuna mahali popote penye shida ya miundombinu lawama ni kwa serikali ya CCM. Wametawala miaka 60.
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Najaribu kuwaza kwa Sauti kama sio Rais Samia Suluhu leo Tanzania tungekuwa wapi?
 
Kwa speed hii ya Rais Samia, Tanzania huenda ikaibua mabilionea wapya 100 miaka miwili ijayo,Tufanye kazi kwa bidii zaidi
 
Hongera Sana Arusha,
 
Basi tuna Rais tajiri sana aisee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…