SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mademu wa jambazi Sabaya tulieni kwanza bwana wenu aliwe kiboga kwanzaLeo aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai bwana Lengai Ole Sabaya amefikishwa mahakamani kwa mara ya tatu huku mashahidi wakishindwa kufika mahakamani na kusababisha kesi kusogezwa mbele hadi tarehe 16/7/2021.
Kwa tuhuma alizokuwa akiporomoshewa Sabaya inashangaza kusikia kuwa hamna mhanga hata mmoja wa Sabaya aliyefika mahakamani kutoa ushahidi wake.
Hata Mbowe ameshindwa kufika kutoa ushahidi??
Tusubiri tarehe tajwa tuone hai mashahidi. Àliyefungua kesi ni serikali anayetakiwa kuwaleta mashahidi ni serikali.leo serika li inasema mashahidi hawakufika mahakamani walienda wapi? Walimfukuza kazi na kumfungulia kesi usiyokuwa na ushahidi na mashahidi?Unasubiri nini kufuata hizo taratibu?
Ndo mfuate huo utaratabu ni mweu pekee amabaye hawezi tofautisha kati ya mahakama,soko na gulioni.Kuna utaratibu wa kupeleka ushahidi na mashahidi mahakamani. Mashakamani sio sokoni.kuna utaratibu
hivi unajua ana kesi ngapi ?Hiv mashahidi wasipofika mahakamani dalili ni njema kwa mtuhumiwa.siku si nyingi DC Sabaya atakuwa huru.Naomba mtunze hii meseji
Kwani anakosa ganiii?? Tuhuma tuhuma zisizo na ushaidiiii. Hiiii kesi ni sawa na ile ya akina mboweee, lazima ata sabaya atashinda asubuhi na kulipwa fidia ya usumbufuuu. Freedom to sabaya is coming soonHaki ya Mungu akishinda hii kesi raia watamalizana nae uraiani, ameumiza watu wengi sana
umenena mkuu.anashindaje kesi wakati katiba na sheria zetu hazifai..?...au hazifai mkishindwa?