"Arusha sio Tanzania"

Arusha ni ya wasomi,,kujua kusoma na kuandika haitoshi,,,
 
Kuchagua upinzani ndo kujitambua kisiasa !!, What a stupid mindset, no wonder Kenya's politicians are making it to the billionnaire ladder leaving the majority the poorest & theft has been the only option
 
Wewe unatafuta kuderail uzi.
Eti kuchakarika. Ina maana watu wa Dar ni wazembe?
Anyways...huu uzi ni kuhusu diplomatic status ya Arusha kama mji mkuu wa EAC na sio mambo yako hayo ya kuchakarika sijui na kufanyeje......
 
Mawazo yako yashindwe na yalegee na haitokuja tokea. Unafikiri Kenya atakubali kuwa landlocked?
Wewe una chuki yako na watu wa pwani basi tu. Tanzania si pwani ila pwani ni Tanzania!
 
He he heeeeeeee! Hii nayo ulitaka iwe kule nini[emoji23] [emoji23] [emoji23]


Ni kweli arusha pamoja na maeneo mengine wanajitambua


Sio huko kwenu mnakoona kuchagua kabila moja kwenye urais kila mwaka ndo kujitambua kisiasa! Mfyuuuuuu
 
Hopeless comments!!
 
Wewe unatafuta kuderail uzi.
Eti kuchakarika. Ina maana watu wa Dar ni wazembe?
Anyways...huu uzi ni kuhusu diplomatic status ya Arusha kama mji mkuu wa EAC na sio mambo yako hayo ya kuchakarika sijui na kufanyeje......
Jamaa mbaguzi sana huyo Mjaluo
 
Kweli kabisa, japo ukweli unauma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…