"Arusha sio Tanzania"

"Arusha sio Tanzania"

nakubali hoja yako. nngekuwa na uwezo ningefanya mapinduz...arusha and moshi iko tofaut sana na wabongo wa huku pwani. nashaur mombasa ije tz na arusha na moshi tuipeleke kenya. cjui kwa nn kenyatta hakufight kipindi kileeee. afu pia wahaya hawajafanana na wazaramo kabisa..hivi obote na idd amini walizidiwaje ujanja na mwalimu? dah niutani tu modes usinipige ban. au ndugu unamawazo gan ww?
Wacha chuki na ukabila wewe. Ukabila ndiyo ulipigwa vita na Nyerere. Kama si nyerere haya makabila ya wahaya na wachaga wangeleta matatizo sana Tanzania.
Angalia Kenya na Uganda mpaka leo wanasumbuliwa na ukabila.
Nyiye wachaga wakina mangi mnafikiri mna own Tanzania, unaleta upumbavu hapa.
 
Wewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.
Very true, Arusha imejengwa na watu wa Kilimanjaro ila kimsingi maeneo yote ya kaskazini watu wako tofauti, wanajitambua
 
Ni mji uliopo katikati ya nchi zote za Africa mashariki,it is tourism city and diplomatic city for East Africa countries
I think mji uliopo katikati kwa EAC ni Mwanza
 
Arusha juu na Arusha chini A town na Mo town kama una akili ndogo uwezi ishi hapa
c88b01a2728d606c27bb31d7926c7c5c.jpg
9049edfff025f2f09bed48cc1dcf6679.jpg
7cb72d0d40d210d082e1ca96b713b593.jpg
15ac629ab51d64e5e96cd809f8bfba78.jpg
 
Hakuna mji usipenda kuwa na bahari.... Arusha ya kawaida sana..
 
Back
Top Bottom