Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Kweli kabisaClimate na weather ya Arusha ni kama ya Nairobi vile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaClimate na weather ya Arusha ni kama ya Nairobi vile.
Federal Capital Territory ? Kwa hiyo muungano ukivunjika Arusha inabaki wapi ?
Wacha chuki na ukabila wewe. Ukabila ndiyo ulipigwa vita na Nyerere. Kama si nyerere haya makabila ya wahaya na wachaga wangeleta matatizo sana Tanzania.nakubali hoja yako. nngekuwa na uwezo ningefanya mapinduz...arusha and moshi iko tofaut sana na wabongo wa huku pwani. nashaur mombasa ije tz na arusha na moshi tuipeleke kenya. cjui kwa nn kenyatta hakufight kipindi kileeee. afu pia wahaya hawajafanana na wazaramo kabisa..hivi obote na idd amini walizidiwaje ujanja na mwalimu? dah niutani tu modes usinipige ban. au ndugu unamawazo gan ww?
Wewe umezaliwa kolomije, kasulu, Mpanda au liwale? [emoji23] [emoji23] [emoji23]Pumba tupu...
Very true, Arusha imejengwa na watu wa Kilimanjaro ila kimsingi maeneo yote ya kaskazini watu wako tofauti, wanajitambuaWewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.
Njoo lakini uvue viatuDaaah pazuri aysee vpi wanaruhusu kupgia picha hapo nije nifanye utalii wa majengo ya istiafrila [emoji1][emoji1]
I think mji uliopo katikati kwa EAC ni MwanzaNi mji uliopo katikati ya nchi zote za Africa mashariki,it is tourism city and diplomatic city for East Africa countries
Wavuta bangi matajiri...kuliko ule mji wa wapaka podaMji wa wavuta bangi
Wavuta bangi matajiri...kuliko ule mji wa wapaka poda
Usitumie makalio kufikiriMji wa wavuta bangi
[emoji15] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usitumie makalio kufikiri
[emoji15] [emoji15]Mji wa wavuta bangi
Ukipiga ziara usiishie hapo tu. Jitahidi ufike matejoo, ngarenaro, kwa mromboo, unga ltd, na hata kijenge juu walau. Ni pazuri mnoo.Daaah pazuri aysee vpi wanaruhusu kupgia picha hapo nije nifanye utalii wa majengo ya istiafrila [emoji1][emoji1]