KERO Arusha; Taa za kuongoza magari zina zaidi ya mwezi mmoja hazifanyia kazi

KERO Arusha; Taa za kuongoza magari zina zaidi ya mwezi mmoja hazifanyia kazi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Taa za kuongoza magari katika barabara kuu iliyopo eneo la friend's corner jijini hapa ambapo ni mita chache kutoka stand kubwa ya mabasi ya mikoani hazifanyi kazi kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa, na hivyo kuhatarisha Usalama kwa wanaovuka kwa miguu.

20240809_152713(0).jpg
20240809_152641.jpg
20240809_152644.jpg
20240809_152705.jpg
 
Hizi nadhani ni zaidi ya miezi sasa, zile za Sanawari kwa wiki lazima zizingue walau siku tatu.

Arusha ilitosha tu kuwa na round abouts badala ya haya mataa yanayoleta foleni jioni
 
Bado kuna tatizo Jiji la Arusha usafi zaidi una hitajika, utendaji bado hafifu mno.
 
Solar za taa zipo aina nyingi sana na hizo naona ni made in tz
Solar ya kwanza ilibuniwa mwaka 1881 na mmarekani
Niambie wewe solar umeijua lini? Be honest sweety
Kumbe leo nimeuliza wanatumia mabetri yanayochajiwa na umeme labda hayo yamezima zii
 
Back
Top Bottom