Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti eeh basi sawaEh ila wewe mie sio mjukuu wako wewe nikama kaka kwangu tu
Friends corner...France conner....
Sina 40 na 30+Eti eeh basi sawa
Kama una over 50 ni mdogo wangu
Ila wajukuu wengine hutuita baby mpaka kero 😄 🤣 kidding
Unaona sasaSina 40 na 30+
Nilikuwa Hapo Karibu na CRDB... Delux ya mjomba siwez kaa na pisi kaliDelux au hapo karibu na crdb?
iyo iyo mkuuFriends corner
Baba yangu kazaliwa umri mmoja na nyerere so tuliaUnaona sasa
Nilikuwepo kabla ya Uhuru
Nilipanda Treni na father wakati wazungu wanasimamia na kutupokea first class
Utaniita kaka ukipenda maana hatupishani sana
Uwe na siku njema
Nimecheka sana hata mimi yaani nyuma sana yupo primary 2001 mimi binafsi mdogo wangu wa mwisho huo mwaka 2001 yupo form 5Daa
Primary nilianza 1965 la kwanza
Acha tuwe tunabishana na wajukuu tu humu 😄 🤣 😂
Hata zikifanya kazi, hakuna anayezungatia. Pale wazuie njia mojawapo kuingiza magari, iruhusu uelekeo mmoja tu.Taa za France conner sio mwezi tu.. Zile ni miaka nenda rudi hazifanyi kazi
Vile jpm kaishia njiani, lakini ilikuwa ni programm endelevu na ilikuwa plan ya serikaliARUSHA inatakiwa kupasuliwapasuliwa barabara nyingi sana
kama hii barabara ya moshi arusha inapaswa kua ya njia nane kuanzia moshi
Huyo baba yako sio weweBaba yangu kazaliwa umri mmoja na nyerere so tulia
😄 🤣 we acha tuNimecheka sana hata mimi yaani nyuma sana yupo primary 2001 mimi binafsi mdogo wangu wa mwisho huo mwaka 2001 yupo form 5