Arusha: Ugonjwa wa mlipuko wagonjwa watengwa kambi maalumu

Arusha: Ugonjwa wa mlipuko wagonjwa watengwa kambi maalumu

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Kumeibuka ugonjwa w a kuhara na kutapika na hivyo Kupelekea Wagonjwa kuwekwa kambi maalumu katika Kituo cha Afya cha Moshono.

Wagonjwa wote waliopata tatizo hilo la kuharisha na kutapika wamewekwa katika eneo maalumu na chini ya Uangalizi Maalum huku wengine wakiwa wamevalishwa phone? ampers.

Hata hivyo Watu wote wenye wagonjwa katika kituo hicho hawaruhusiwi kuingia ndani ya eneo walipo wagonjwa wao.

Taarifa zilizopo ni kuwa katika maeneo Yote wanakotoka wagonjwa hao timu ya wataalam wa Afya zitaenda kupuliza dawa maalumu.

Kama kweli hili jambo lipo halitakiwi kuwa siri, Serikali ijitokeze iweke wazi juu ya hili.
 
Hdi Sasa wagonjwa wangapi wamewekwa kambini?
Kumeibuka ugonjwa w a kuhara na kutapika na hivyo Kupelekea Wagonjwa kuwekwa kambi maalumu katika kituo cha afya cha moshono.

Wagonjwa wote waliopata tatizo hilo la kuharisha na kutapika wamewekwa katika eneo maalumu na chini ya Uangalizi Maalum huku wengine wakiwa wamevalishwa phone? ampers.

Hata hivyo Watu wote wenye wagonjwa katika kituo hicho hawaruhusiwi kuingia ndani ya eneo walipo wagonjwa wao.

Taarifa zilizopo ni kuwa katika maeneo Yote wanakotoka wagonjwa hao zitaenda kupulizwa dawa maal
 
Poleni sana. Wiki hii nilikuwa maeneo ya Engaruka watoto wanaumwa surua ni balaa sijawahi ona. Hata mahudhurio yao darasani yamekuwa hafifu sana maana wengi wao wameambukizwa hiyo surua. Mbaya zaidi hakuna juhudi zozote zilizochukuliwa na mkuu wa wilaya, mkurugenzi wa halmashauri na timu yake ya wataalamu kama mganga mkuu, afisa afya n.k. ili kupambana na surua hiyo.
 
Kumeibuka ugonjwa w a kuhara na kutapika na hivyo Kupelekea Wagonjwa kuwekwa kambi maalumu katika kituo cha afya cha moshono.

Wagonjwa wote waliopata tatizo hilo la kuharisha na kutapika wamewekwa katika eneo maalumu na chini ya Uangalizi Maalum huku wengine wakiwa wamevalishwa phone? ampers.

Hata hivyo Watu wote wenye wagonjwa katika kituo hicho hawaruhusiwi kuingia ndani ya eneo walipo wagonjwa wao.

Taarifa zilizopo ni kuwa katika maeneo Yote wanakotoka wagonjwa hao zitaenda kupulizwa dawa maalumu
Kipindu pindu hiko, jalini usafi wa mazingira hasa maji taka.
 
Back
Top Bottom