Arusha: Ukikutwa umevaa Suruali ya kubana, Sketi fupi Faini Tsh. 50,000

Hii ndiyo dawa mujarabu kwa vijana waliokengeuka. Utakuta kijana mzima ametoboa pua na kuweka kipini! Mbwa kabisa.
 
Hawataweza.

Hawataweza ng'oo

Huo muda Kwanza wametoa wapi wa kujadili mavazi ya mtu hizi ni dalili za kukosa Kazi za kufanya.

Maisha yakikaza hata muda wa kuvaa hovyo hawawez kuwaza
Lazima mdhibitiwe tu hakuna namna. Mmezidi kuvaa na kunyoa minyoo ya kihuni. Dawa yenu ishachemka; kaa tayari kuinywa!
 
Watanzania wenye akili tupo elfu kumi,,japo nanyoa kiduku,, ila hili nimelipenda wala sina pingamiz tena iwe nch nzima haiwezekan wadada watuvalie nusu uchi kias hiki ukienda kuomba mzigo wanakunyima tena mm nisingeweka adhabu ya elfu 50 ningesema hv yoyote anayekutwa kavaa nje ya maadil abakwe ruksa masela fanyeni yenu tena hadharan na mumrekodi iwe mwanaume au mwanamke baka wote, tumechelewa sana kama mnazuia picha za ngono mnashindwaje kuzuia hawa washenz na hata hao wazungu kabla ya kuingia nch husika wapitie sheria za nchi husika na ukiona watu wanapinga hili jua hawana maadili
 
Hivi inakuwaje mtoto wa kiume anasuka, kuvaa cheini, kipini au hereni? Huu ni ujuha na upumbavu wa hali ya juu sana. Wapigwe tu ili liwe fundisho kwa washenzi
 
Kweli kabisa mkuu. Hawa washenzi ndio wanatuletea mambo ya kishoga na kisagaji hapa nchini. Lazima wadhibitiwe kwa nguvu zote. Mwanaume anavaa cheni au hereni ili iweje? Wapuuzi wakubwa!
 
Huu ni upotoshaji Sema Kijiji cha Olevolosi, Arusha.
 
arusha nimekaa sana, najua maeneo mengi mpaka vijijini huko, nimesomea huko, na nilikuwa na marafiki wengi wa kimeru maeneo ya tengeru, usa huko, ndo maana unaona swaga zangu za kichugachuga
Aaah ata mim nilikuwa uko nasoma o- level aseeh...... Arusha ilkuwa unyama Sana[emoji109]
 
wajinga hawa, kwanza hizo sheria zao zinaendana na sheria gani ya nchi? Unawashtaki fasta wanachapwa faini hawarudii tena!
 
Hicho kijiji kuna watu wanaoishi
 
Ushamba unawasumbua, pamoja na kuvaa vizuri tumegundua nini cha ajabu kuwazidi wazungu wakaa uchi
Nenda kaishi kwa wazungu shida yako unataka hata watoto wako na wazizi wako waone uchi wako hili iweje?
 
Hao ni wajinga tu ushindwe kulea kijana wako vizuri alafu uje uweke faini watu wanafikiri na makalio sio bure
Wewe mtembea uchi ukidhani ndio ushua kumbe upumbavu
 
Nimesikia Aibu mimi kwa niaba ya Waziri Dorothy Gwajima, Yani Waziri Mzima ana endorse hii taka taka kweli? Sheria za ovyo sana izo tunarudi nyuma aisee
We endelea kuuza bunyelo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…