Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Mh.Hbr za jioni ndugu.
Awali kabisa naomba niwapongeze wote kwa ufuatiliaji wa mijadala ya jamii.
Aidha, niseme kuwa, mimi binafsi sitaona aibu kusema kuwa nimewapongeza jamii hiyo kwanza kwa uthubutu tu wa kubaini kuna changamoto na kuketi pamoja kama jamii ya rika zote kujadili na kukubaliana wao.
Hii kwangu ni ishara kwamba, sasa kumbe jamii yetu imeanza kubaini changamoto na kuzimiliki na kuzijadili na Sasa kinachofuata ni msaada wa kitaalamu Ili mijadala yao isikinzane na sheria mama za nchi na uhuru wa haki za binadamu. Mm nimelitazama hivyo.
Sasa kwa kuwa nyie mmelitazama tofauti, haki yenu kujadili katika jicho lenu. Ila sisi huu ni mwanzo mwema wa jamii Sasa kuanza safari ya mabadiliko ya fikra kwamba wao ndiyo injini ya kujadili changamoto zao na sisi ni wa kupeleka msaada wa kitaalamu Ili wafike salama safari yao pasipo kuathiri sheria kuu zote.
Ruksa kuniona mm siko sawa ila niwaombe tu pia kuwa, ziko Mila au sheria za kijamii huko kwenye maeneo yetu ambazo zina athari kiafya, zinaua na kuleta ulemavu, ningependa pia zianzishiwe mjadala kwani ni dharura.
Ahsanteni sana, tupo pamoja na mawazo tunapokea. Mbarikiwe.
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Waafrika kukaa uchi ni utamaduni wetu. Nguo tumeanza kuvaa miaka ya 1930 tu....Ushamba unawasumbua, pamoja na kuvaa vizuri tumegundua nini cha ajabu kuwazidi wazungu wakaa uchi
Kama ilivyokua janga kubwa huko visiwani kweli 🐒 haoni.......ushoga umekuwa janga kubwa sana mikoa ya Kaskazini.
Kumbuka Miaka mitano nyuma kuna eneo linaitwa Mtaa wa Mavi pale mianzini ambapo ndipo kitovu cha madawa ya kulevya...ukienda unakuta vijana wamejidunga na wamelala kuanzia asubuhi hawafanyi kazi yoyoteMbona hawatoi dozi kwa wauza bangi
Hbr za jioni.wanasema eti ni sheria ndogondogo, na waziri kaunga mkono kabisa eti.
Iliasisiwa na ninyi wa pwani, wakina Ant Abuu, hasa Zanzibar mpaka Mombasa kisha mkaisambaza kote baraushoga umekuwa janga kubwa sana mikoa ya Kaskazini.
Ngoja nikuelimishe kama nitaweza.Na watalii nao mtawapiga faini au ni Sisi kwa Sisi.
Hii nchi imekosa viongozi wenye AKILI
Hakuna kitu duniani kimewekwa kikawezekana asilimia mia moja. Hakipo kabisa. Mambo mengine huwezekana kwa watu wachache kulingana na ukubwa wa nguvu ya hekima yao katika kutafsiri mambo na kubaini hili lafaa au lah. Wao watakuwa wametimiza wajibu na wameonesha umuhimu wa jamii kumiliki ajenda zao jambo ambalo ni muhimu kwani, kupitia SPIRIT hiyo hata wakija wezi kwenye jamii yao wataketi pamoja kujadili. Kikubwa ni Spirit ya mabadiliko na matokeo hutegemea mambo mengi Sana.Hawataweza.
Hawataweza ng'oo
Huo muda Kwanza wametoa wapi wa kujadili mavazi ya mtu hizi ni dalili za kukosa Kazi za kufanya.
Maisha yakikaza hata muda wa kuvaa hovyo hawawez kuwaza
Unadhani hao unaowasema Wana Kila kitu chema? Pekua taarifa zao za stress uone.... unaweza kuendelea na Kila kitu lakini amani ya moyo haipo kabisa na unakoelekea ni kwingine kabisa.Ushamba unawasumbua, pamoja na kuvaa vizuri tumegundua nini cha ajabu kuwazidi wazungu wakaa uchi
Kwahiyo vijana wanaanza kuhamia vijiji jirani maana hapo pamewaka motoMiongoni mwa yaliyopitishwa ni pamoja na kupiga marufuku wasichana au wanawake kuvaa suruali za kubana au sketi fupi 'vimini', kijana wa kiume kusuka nywele au kunyoa pembezoni mwa kichwa na kuacha nywele katikati 'kiduku', kuvaa hereni au kuvaa suruali inayoonyesha makalio na adhabu za makosa hayo ni faini Sh50,000.
Akizungumza katika mkutano mkuu wa kijiji hicho, Mtendaji wa Kata hiyo ya Kimnyak, Joshua Mollel, aliwasilisha sheria hizo kwa niaba ya mtendaji wa kijiji hicho, ambazo zilipitishwa na mkutano huo.
Sidhani kama ni ujinga huo. Maana Iko siku itawahitaji kwenye jambo lingine ambalo utapenda kuona wanakaa pamoja kama vile kulijadili, utakuwa umeshaua hiyo spirit, na hapo ndiyo jamii zetu zinapojikuta hata jambo la kawaida ambalo wao kuanzia ngazi ya familia wangemaliza hawamalizi maana hatuoni hata kwamba, jamii ikikaa pamoja kujadili jambo, basi huo ni mwanzo wa uwezekano wa kuingiza uongozi Ili waelekee kwenye matokeo chanya. Hili huwa hatuoni.Waache ujinga hao viongozi
Ukirudi Miaka 80 nyuma tulikuwa uchi,nguo zimekuja miaka ya 60 na hapo ziwa saa sita mababu walizoea kuliona likiwa wazi wazi ,Hebu waache dada zetu, fahari ya macho eti
Ww ni kati ya wale waliobarikiwa neema ya kuamini kuwa, tunaweza kuendelea huku tukitunza Yale ambayo yanatutofautisha na wanyama. Hii ni neema. Maana Dunia ya leo inakoelekea ni kukosa macho ya rohoni na kujielekeza kwenye taasisi ya wanyama wa porini kabisa ingawa nao naona wanazo akili. Maana wanajua mnyama gani ni nani na kiuongo chake kipi Kiko kwa matumizi gani.Nimeipenda hii kuna uzi nilipendekeza humu ndani kua iwepo sheria ya kudhibiti hawa wahuni wahuni wanaotembea uchi tena hii iwe nchi nzima
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Tatizo lingine ni hili sasa ambalo haya hatujui nani ataenda kulisemea maana wengine humu hata hawajulikani kwao wapi. Hivi kwani kuongea lazima utie na kaneno katusi fulani hivi? Malezi haya tunayosema kwa nyakati za sasa kweli ni neema tu.Hao ni wajinga tu ushindwe kulea kijana wako vizuri alafu uje uweke faini watu wanafikiri na makalio sio bure
Iliasisiwa na ninyi wa pwani, wakina Ant Abuu, hasa Zanzibar mpaka Mombasa kisha mkaisambaza kote bara
Mnaita mambo ya pwani
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Jamani hbr za jioni. Limtu tena? Kazi ipo.Jamhuri ya ovyo; limtu linaamka linajiamulia tu; no kufuata sheria linajiamulia tu na umaskini wetu Upo pale pale; hawa watu bila kuchinja mmoja kwa mmoja baada ya mwingine no change will come
Kama ilivyokua janga kubwa huko visiwani kweli 🐒 haoni.......