Arusha: Ukikutwa umevaa Suruali ya kubana, Sketi fupi Faini Tsh. 50,000

Arusha: Ukikutwa umevaa Suruali ya kubana, Sketi fupi Faini Tsh. 50,000

Siendi Meru 😭😭
Sitokiiii nje ya Town 🤣
Hao wazee wanakuwaga wakoloni sanaa
Waje huku mjini wakutane na hawa wazungu waliokimbia makwao na vimini vyao. Tuone kama hiyo sheria yao itatoboa
Kwani na wewe unavaaga vimini 😂
 
Siendi Meru [emoji24][emoji24]
Sitokiiii nje ya Town [emoji1787]
Hao wazee wanakuwaga wakoloni sanaa
Waje huku mjini wakutane na hawa wazungu waliokimbia makwao na vimini vyao. Tuone kama hiyo sheria yao itatoboa
Bahati nzuri Hawa Wazee wanazo akili zao za kupambania mema na mabaya. Watalii wamekuwepo miaka mingi hatujazaliwa wakivaa hivyo na hizo jamii za huko zimekuwepo wakishika yao.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
"Sheria Ndogo" (By-Law) kwa procedures zipi? kwa Government Notice ipi?

Yaani Waziri Gwajima (PhD) naye anakiri kabisa na kuita kuwa hiyo ni 'sheria ndogo'?

Hili Taifa bado lina safari ndefu sana walai.

-Kaveli-
Hujambo? Mm siyo PhD tafadhali, rekebisha. Nadhani nimeeleza yangu kwenye posts zingine. Ngoja nisirudie. Tuendelee kujadili kwa lengo la kuelimishana tafadhali. Mm lugha hizi zingine ambazo siwezi kuzisema mbele ya ibada mtanisamehe. Nitaenda hivi hivi mdogo mdogo na zile lugha zetu ambazo wazazi wetu walisema ni za heshima.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, hamna Sheria Ndogo (by law) yoyote hapo. Hivyo ni vikanuni uchwara tu wamejiwekea hao wananzengo, na havina essence yoyote kisheria endapo mtu akivivunja.

Waziri Gwajima nahisi amesahau au hajuwi 'Sheria Ndogo' ni kitu gani.

-Kaveli-
Hujambo tena. Sijasahau wala siyo kuwa sijui. Mm nimepongeza jamii ile kumiliki ajenda ya kudhibiti mmomonyoko wa maadili. Na natambua kuwa, jamii hii kwa hatua ambazo imechukua sasa ni rahisi wataalamu kwenda kukaa nao chini na kuwajenga Ili wasijeenda nje ya sheria mama. Ingekuwa hatua hii hawajachukua, hata wataalamu kwenda kuingia ingekuwa ngumu maana hakuna will power ya jamii. Mbona safari nyingi tu huwa zinaanza na marekebisho hufanyika along the way? Nilidhani hata kwa hatua hii wangepongezwa, kutiwa moyo na kwenda kusaidiwa, kumbe siyo. Hivi bara hili lini tutaheshimu vyetu?

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Upuuzi... hawezi kushindana na globalization
Mwenye Neema ya hekima atashindana nayo na atabaki imara. Kwani huko ilikoanza globalization kwani hakuna watu unadhani waliosimama na Maadili? Mbona tunapiga nao picha Kila siku? Sema labda exposure yako ni channels unazotafuta tu kwa kusudi lako. Kila penye Giza, Nuru nayo ipo.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu yangu, acha nikoge tu matusi yote ila nitasimama kutetea na kusaidia wale ambao Mungu amenyoosha mkono wake juu yako kwa kusudi lake, basi litimie. Sitafifisha kusudi la Mungu kisa wachambuzi Hawa. Ila kama ilivyoandikwa kuwa penye Giza na Nuru ipo, basi ndivyo tutakavyoangaza daima. Wa Giza ni wa Giza tu na wa Nuru atabaki nuruni. Kaziiendelee

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Hukuelewa hoja yangu... semantically.

Nikuulize wewe: Hicho walichopitisha Uongozi wa kijiji husika, ni 'Sheria Ndogo' (By Law) ?

-Kaveli-
Ni makubaliano ya jamii husika. Sasa sheria au siyo sheria hilo lingine. Kwanza wao wameona wakubaliane hivyo. Kama kuna shida, wenye hekima huenda mbele ya shauri na kulinyoosha shauri hilo lisikinzane na sheria mama, ilimradi wanaijua Nia njema ya shauri hilo. Ubarikiwe

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Sio sheria ndogo na ndio maana nikauliza ni kweli Waziri Gwajima hajui hilo na hajui nini anafanya?
Salaam. Ninachofanya nakijua na ndiyo maana nikapongeza kwamba, heri jamii hii imeonesha dhamira ya kutaka mabadiliko na kumiliki ajenda husika, wanachopaswa sasa ni kusaidiwa Ili Nia yao isitoke nje ya mstari wa sheria kuu.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Hii ni mihemko tu, na wasithubutu kutekelwza maana wataangukua pasipoelezeka. Hii nchi ina sheria kanuni na taratibu ambazo zikizingatiwa jamii itakaa sawa kabisa sio haya
Hbr za jioni. Nakubaliana na ww kabisa. Ila ambacho nataka nichangie ni kuwa, pamoja na sheria nyingi kuwepo, bado kama sheria kuu ya fahamu za watu haipo, yaani Nia yao, yaani sheria zitakuwepo na makosa yatakuwepo. Hawa wameonesha njia ya kutaka mabadiliko, sasa hao wenye sheria zao ndiyo wapeleke UONGOZI. ukipeleka uongozi kwenye jamii ambayo wala kichwani mwao hakuna hiyo Nia, utarudi kama ulivyoenda. Yaani hapa ni balance tu kati ya mwelekeo wao na input ya uongozi Ili waelekee sawa sawa.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Well.. Waziri Gwajima yeye katambua hicho kilichopitishwa na Kijiji ni 'Sheria Ndogo'.

As such, Yes, hajuwi 'sheria ndogo' ni kitu gani, Ila anajua anachofanya i.e to support moral decay prevention.

-Kaveli-
Nadhani nimesha interact vya kutosha kwenye mchango wako huu. Rejea awali. Ngoja nitafute new points

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Mwenye Neema ya hekima atashindana nayo na atabaki imara. Kwani huko ilikoanza globalization kwani hakuna watu unadhani waliosimama na Maadili? Mbona tunapiga nao picha Kila siku? Sema labda exposure yako ni channels unazotafuta tu kwa kusudi lako. Kila penye Giza, Nuru nayo ipo.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Waafrica mna mambo nyie!yaani mambo ya babu zenu Leo mnaita ni ushenzi?babu zenu hawakuwa na nguo jamanii muwe wepesi kuelewa
 
Waafrica mna mambo nyie!yaani mambo ya babu zenu Leo mnaita ni ushenzi?babu zenu hawakuwa na nguo jamanii muwe wepesi kuelewa
Ukitazama hivyo, ni sawa tu na kusema kuwa, zamani babu zetu hawakuwa na nyumba hizi turudi mapangoni, hawakuwa na vyuo vikuu wala shule ya msingi, basi tuache kulalamika kwetu hakuna shule mbunge hafai, halafu pia hawakuwa na hospitali basi tuache kulalamika hakuna sijui hospitali wala vitendea kazi vya wataalamu tukachimbe dawa na sijui miti inatoka wapi maana Tabia nchi imebebea. Halafu barabara za nn sasa si tupitie porini tu. Kama nimekuelewa vzr lakini

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Hujambo tena. Sijasahau wala siyo kuwa sijui. Mm nimepongeza jamii ile kumiliki ajenda ya kudhibiti mmomonyoko wa maadili. Na natambua kuwa, jamii hii kwa hatua ambazo imechukua sasa ni rahisi wataalamu kwenda kukaa nao chini na kuwajenga Ili wasijeenda nje ya sheria mama. Ingekuwa hatua hii hawajachukua, hata wataalamu kwenda kuingia ingekuwa ngumu maana hakuna will power ya jamii. Mbona safari nyingi tu huwa zinaanza na marekebisho hufanyika along the way? Nilidhani hata kwa hatua hii wangepongezwa, kutiwa moyo na kwenda kusaidiwa, kumbe siyo. Hivi bara hili lini tutaheshimu vyetu?

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app

You're right... reforms mbali mbali hufanyika along the way. Naunga mkono hoja mkuu.

-Kaveli-
 
You're right... reforms mbali mbali hufanyika along the way. Naunga mkono hoja mkuu.

-Kaveli-
Yaani ukiunga mkono wewe, naona Sasa wote watatuelewa. Na hii ndiyo faida ya Jukwaa hili. Kwamba watu huja na hoja Kem Kem, halafu baadae tunavumiliana tunakutana sehemu kwa faida ya jamii yetu.

Hata ww kwa dhati kabisa natamani uwe sehemu ya kikundi cha mjadala ambao utatupeleka mbele kwamba, tunawezaje sasa ku REGULATE jamii yetu kwenye kipindi hiki ambapo wengi wameanza kumiliki hoja ya mabadiliko Ili, TUWAONGOZE wafike salama kwa mujibu wa Katiba yetu ya nchi na sheria mbalimbali?

Hakika wanahitajika watu wenye kuzama kimawazo.

Nashukuru kupitia mijadala kama hii, tumeweza kuibua vikundi mbalimbali vya kijamii vikibeba ajenda moja baada ya ingine, na mm najivunia navyo Sana.

Ukipenda, mm huwa sms tu 0765345777 tunapata na wengine, kikundi tayari cha mawazo [emoji1431][emoji1241] ubarikiwe

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Unadhani hao unaowasema Wana Kila kitu chema? Pekua taarifa zao za stress uone.... unaweza kuendelea na Kila kitu lakini amani ya moyo haipo kabisa na unakoelekea ni kwingine kabisa.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Lakini whites ndo wanaoongoza kwa kuwa na furaha duniani. Stress zipo Africa.

We ni Dkt Gwajima yupi kwanza? Wa Magufuli?
 
Ni makubaliano ya jamii husika. Sasa sheria au siyo sheria hilo lingine. Kwanza wao wameona wakubaliane hivyo. Kama kuna shida, wenye hekima huenda mbele ya shauri na kulinyoosha shauri hilo lisikinzane na sheria mama, ilimradi wanaijua Nia njema ya shauri hilo. Ubarikiwe

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app

Na miongoni mwa hao wenye hekima wa kunyoosha mambo ni wewe na team yako ya Wizara. Wizara yako ni relevant kwenye hili, tunatarajia wewe na team yako ya watalaamu muwe frontline katika kuwashauri na kuwaongoza wananchi hao katika kuadopt sheria ndogo zenye kucomply with all procedures zilizowekwa na sheria zetu za nchi.

Kuiacha jamii na kuipongeza kuhusu sheria ndogo ambayo ni incomplete kisheria, kunaweza leta negative impact kati ya inhabitants na enforcers wa hiyo sheria ndogo.

As you know, enforcers wengi maeneo ya vijijini ni kama miungu watu, na mbaya zaidi itokee wanaenforce sheria ndogo ambayo ni incomplete kisheria, na ikatokea victim wa enforcement hiyo akawa na uelewa kwamba Sheria Ndogo husika ni incomplete kwa matakwa ya kisheria. Nini kitatokea?

Kimsingi, dhumuni lao ni jema sana and genuine, kuprevent moral decay katika jamii zetu. Lakini, Je, approaches and methodologies zipo constructed and adopted pursuant to legal standards and procedures?

My primary concern ni kwamba sheria ndogo hizi ili zisaidie jamii kikamilifu, ni muhimu ziwe adopted kwa kufuata na kuzingatia procedures zote zinazotakikana ili zipate full legal back up kwenye enforcement.

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom