Arusha: Vinara waliokamatwa na gunia 15 za Mirungi wachomolewa usiku wa manane Polisi

mie nataka anzisha biashara ya juice ya mmea wa bhangiiii.
hapa nafwatilia vibali vya kupewa eneo la kulima ka hekari 500, na kuleta mashine za kusindika ili kuzalisha juice. Juce ya mmea huo wa Cha R-chuga inaaminika kupunguza magonjwa mwilini
 
mie nataka anzisha biashara ya juice ya mmea wa bhangiiii.
hapa nafwatilia vibali vya kupewa eneo la kulima ka hekari 500, na kuleta mashine za kusindika ili kuzalisha juice. Juce ya mmea huo wa Cha R-chuga inaaminika kupunguza magonjwa mwilini
Ok unaenda sambamba na mpango wangu wa kashata za Bangi
 
Kama serikalini wanaiba wao wafanye nini, tumerudi zama za chukua chako mapema
 
Inanikumbusha kesi Moja kuna dalali alimpiga mama mmoja shamba milion 60.yule dalali alijua yule mama atakwenda polisi kuripoti dalali akawahi polisi akaongea na MKUU wa kituo akamwambia atampa milion 5 .yule mama alipofika kituoni akaripoti akapewa Askari wakamkamate dalali .wakamkuta kwake wakamkamata wakampeleka kituoni .yule dalali anakaa mahabusu kuanzia asubuhi mpaka usiku anatolewa anakwenda kulala nyumbani kwake saa 11alfajiri anarudi kituoni.yule mama akiripoti anamkuta kituoni.
(Ili tukio lilitokea Senegal)
 
Duh, noma sana
 
dah hii nchi [emoji26][emoji26][emoji26]
 
Kilicho badlika , ni lugha baina ya mtuhumiwa na Polisi .
Sasa hivi mtuhumiwa hatishwi sana kwa like swali " unataka ni tumbuliwa kwa pesa ndogo hivyo?
Na Ile taalifa ya nyongeza ya "utapata kesi ya uhujumu uchumi"

Mengine yote yalikuepo TU.
 
Tanzania si waruhusu tu mirungi iwe biashara halali ila Kodi iwe juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…