King’ori ipo Arusha kumbe?Wakuu,
Leo, katika tarafa ya King'ori, wilaya ya Arumeru, viongozi wapya wa serikali za mitaa wameapishwa rasmi. Sherehe hiyo iliongozwa na hakimu wa mahakama ya eneo hilo, ambapo wateule walikula kiapo cha uaminifu na kuahidi kutumikia Serikali ya Muungano wa Tanzania na wananchi kwa bidii na uadilifu.
View attachment 3164454
Ulijua iko mbeya?King’ori ipo Arusha kumbe?
Vyama rafiki wa ccmWakuu,
Leo, katika tarafa ya King'ori, wilaya ya Arumeru, viongozi wapya wa serikali za mitaa wameapishwa rasmi. Sherehe hiyo iliongozwa na hakimu wa mahakama ya eneo hilo, ambapo wateule walikula kiapo cha uaminifu na kuahidi kutumikia Serikali ya Muungano wa Tanzania na wananchi kwa bidii na uadilifu.
View attachment 3164454
Hapana nilijua iko kwenye masaburi yakoUlijua iko mbeya?