Arusha: Walevi tuwe makini, Konyagi feki zitatumaliza

Hata bia nina wasiwasi, mf. Serengeti kubwa wakati mwingine inakuwa ya ajabu na haina povu la kutosha. Usikute kuna kakiwanda ka pembeni!
 
Hata bia nina wasiwasi, mf. Serengeti kubwa wakati mwingine inakuwa ya ajabu na haina povu la kutosha. Usikute kuna kakiwanda ka pembeni!
Tunazungumzia konyagi fake pamoja na mkoa wa manyara. Masuala ya bia subiri kidogo
 
Mkuu, mimi siyo Mashahidi na imani yao sijaijua vizuri. Ingawa najua haamini kuongezeana damu.

Hili la nyumba ni jipya.
Wenzako wanapita mtaani kuchagua nyumba nzuri, wanaamini kwamba baada wa mwisho wa dunia wao watabaki kuirithi ulimwengu hvyo wanachagua mapema sehemu za kuishi
 
Wenzako wanapita mtaani kuchagua nyumba nzuri, wanaamini kwamba baada wa mwisho wa dunia wao watabaki kuirithi ulimwengu hvyo wanachagua mapema sehemu za kuishi
Wakishachagua wanapanga kwenye hiyo nyumba amma?
 
Hata bia nina wasiwasi, mf. Serengeti kubwa wakati mwingine inakuwa ya ajabu na haina povu la kutosha. Usikute kuna kakiwanda ka pembeni!
Ni kweli kabisa, bia siku hizi nazo hazieleweki sio serengeti tu, ile taste halisi ya bia imepotea
 
Ndio maana nilikunywa yale makubwa sita lakini sikukewa hata kidogo...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…