Arusha: Walimu wote wa Serikali watakiwa kujitokeza uwanjani kesho Sheikh Amri Abeid kumpokea na kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM

Arusha: Walimu wote wa Serikali watakiwa kujitokeza uwanjani kesho Sheikh Amri Abeid kumpokea na kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM

Ukiwa Mtumishi wa Umma unaheshimu serikali iliyopo madarakani kwani hiyo serikali ndio Boss wako.Katibu mkuu wa CCM yupo huko Arusha Kwa niaba ya Mhe.Rais ambaye ndiye Mwenyekiti Wa Chama CCM..
Sio mbaya Kwa wao kwenda kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM...Nadhani mleta thread ni Wivu tu unakusumbua Kwa kuwa Serikali ya Mhe.Samia inavyofanya kazi nzuri na unajua Mkutano huo unaenda kuvuruga kila kitu huko Arusha..
CCM inapendwa sana,Serikali ya Mhe.Dkt.Samia inapendwa sana na inazidi kufanya makubwa Kwa Walimu na Watumishi wote wa Umma..
Chama hakina mvuto wala ushawishi.Mnalazimisha watumishi wakawasikilize kwa nguvu?Chama takataka kabisa!😂😂😂😂
 
Kuna meseji zinatembea za magrupu zikiwataka walimu wa jiji la Arusha wale wa serikali kwenda uwanja wa Sheikh Amri Abeid kesho jumamosi kuanzia saa 1:00 asubuhi kwa ajili ya kuhudhuria ziara ya katibu mkuu wa ccm, Ndugu Chongolo.

NB:
Walimu wanatakiwa kujigharamia nauli na chakula katika ziara hiyo.
Cc: Mpwayungu Village
Barua ya Wito iko wapi!??
 
Kuna meseji zinatembea za magrupu zikiwataka walimu wa jiji la Arusha wale wa serikali kwenda uwanja wa Sheikh Amri Abeid kesho jumamosi kuanzia saa 1:00 asubuhi kwa ajili ya kuhudhuria ziara ya katibu mkuu wa ccm, Ndugu Chongolo.

NB:
Walimu wanatakiwa kujigharamia nauli na chakula katika ziara hiyo.
Cc: Mpwayungu Village
Hii kada inadharauliwa sana,japo nasikitika kusema hivyo,
ni kwa nini wasiwe watumishi wote wa umma badala yake wawe waalimu peke yao?
Hapo CWT walitakiwa wajiongeze mfanye maamuzi ya pamoja,hakuna mtu mwenye uthubuti wa kuwafukuza kazi kwa mara moja,waalimu wote kuanzia chekechea hadi ngazi ya A level.
 
Ukiwa Mtumishi wa Umma unaheshimu serikali iliyopo madarakani kwani hiyo serikali ndio Boss wako.Katibu mkuu wa CCM yupo huko Arusha Kwa niaba ya Mhe.Rais ambaye ndiye Mwenyekiti Wa Chama CCM..
Sio mbaya Kwa wao kwenda kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM...Nadhani mleta thread ni Wivu tu unakusumbua Kwa kuwa Serikali ya Mhe.Samia inavyofanya kazi nzuri na unajua Mkutano huo unaenda kuvuruga kila kitu huko Arusha..
CCM inapendwa sana,Serikali ya Mhe.Dkt.Samia inapendwa sana na inazidi kufanya makubwa Kwa Walimu na Watumishi wote wa Umma..
Hatujakataa ila ni kweli kwamba serikali inafanya mema kwa waalimu pekee Arusha au kwa watanzania wote?
Hapa ilitakiwa wito uende kwa wakazi wote wa Arusha au kwa watumishi wote wa serikali mkoani Arusha.
Ndugu zangu tusijidanganye eti kwa kuwa sisi sio waalimu,hatujui kesho ya watoto wetu,
tukiijengea dharau tasnia hii,tujue kesho ni zamu ya watoto wetu.Hivyo tufanye mambo yote kwa busara.
 
Kuna meseji zinatembea za magrupu zikiwataka walimu wa jiji la Arusha wale wa serikali kwenda uwanja wa Sheikh Amri Abeid kesho jumamosi kuanzia saa 1:00 asubuhi kwa ajili ya kuhudhuria ziara ya katibu mkuu wa ccm, Ndugu Chongolo.

NB:
Walimu wanatakiwa kujigharamia nauli na chakula katika ziara hiyo.
Cc: Mpwayungu Village
Hivi walim ndo huwa daraja la kupandia wanasiasa , nyie walim jitafakari nyie watu muhim why wanasiasa wanapenda wadhalilisha hivi
 
Ukiwa Mtumishi wa Umma unaheshimu serikali iliyopo madarakani kwani hiyo serikali ndio Boss wako.Katibu mkuu wa CCM yupo huko Arusha Kwa niaba ya Mhe.Rais ambaye ndiye Mwenyekiti Wa Chama CCM..
Sio mbaya Kwa wao kwenda kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM...Nadhani mleta thread ni Wivu tu unakusumbua Kwa kuwa Serikali ya Mhe.Samia inavyofanya kazi nzuri na unajua Mkutano huo unaenda kuvuruga kila kitu huko Arusha..
CCM inapendwa sana,Serikali ya Mhe.Dkt.Samia inapendwa sana na inazidi kufanya makubwa Kwa Walimu na Watumishi wote wa Umma..
Unafanya kazi kwa mjibu wa serikali iliyo madarakani au kwa mjibu wa sheria na kanuni kwa matakwa ya kazi yako, huna akili pumbavu
 
Kuna meseji zinatembea za magrupu zikiwataka walimu wa jiji la Arusha wale wa serikali kwenda uwanja wa Sheikh Amri Abeid kesho jumamosi kuanzia saa 1:00 asubuhi kwa ajili ya kuhudhuria ziara ya katibu mkuu wa ccm, Ndugu Chongolo.

NB:
Walimu wanatakiwa kujigharamia nauli na chakula katika ziara hiyo.
Cc: Mpwayungu Village

To be honest, kwa Tanzanian, ualimu sio kazi

ni umaskini tu unatufanya tuung'ang'anie, hasa shule za serikali

Walimu hawana misimamo, Hadi mtendaji wa Kijiji (form four failure anawatingisha)

Hii hapana,
 
Ukiwa Mtumishi wa Umma unaheshimu serikali iliyopo madarakani kwani hiyo serikali ndio Boss wako.Katibu mkuu wa CCM yupo huko Arusha Kwa niaba ya Mhe.Rais ambaye ndiye Mwenyekiti Wa Chama CCM..
Sio mbaya Kwa wao kwenda kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM...Nadhani mleta thread ni Wivu tu unakusumbua Kwa kuwa Serikali ya Mhe.Samia inavyofanya kazi nzuri na unajua Mkutano huo unaenda kuvuruga kila kitu huko Arusha..
CCM inapendwa sana,Serikali ya Mhe.Dkt.Samia inapendwa sana na inazidi kufanya makubwa Kwa Walimu na Watumishi wote wa Umma..
Check hili jinga
 
Ukiwa Mtumishi wa Umma unaheshimu serikali iliyopo madarakani kwani hiyo serikali ndio Boss wako.Katibu mkuu wa CCM yupo huko Arusha Kwa niaba ya Mhe.Rais ambaye ndiye Mwenyekiti Wa Chama CCM..
Sio mbaya Kwa wao kwenda kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM...Nadhani mleta thread ni Wivu tu unakusumbua Kwa kuwa Serikali ya Mhe.Samia inavyofanya kazi nzuri na unajua Mkutano huo unaenda kuvuruga kila kitu huko Arusha..
CCM inapendwa sana,Serikali ya Mhe.Dkt.Samia inapendwa sana na inazidi kufanya makubwa Kwa Walimu na Watumishi wote wa Umma..
Oneni hili shuzi, kwahiyo ni walimu tu mbona hatusikii madaktar na wanajeshi halafu ni utaratibu upi huo kwamba mikutano ya kisiasa ni lazima mwalimu aende
 
Ukiwa Mtumishi wa Umma unaheshimu serikali iliyopo madarakani kwani hiyo serikali ndio Boss wako.Katibu mkuu wa CCM yupo huko Arusha Kwa niaba ya Mhe.Rais ambaye ndiye Mwenyekiti Wa Chama CCM..
Sio mbaya Kwa wao kwenda kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM...Nadhani mleta thread ni Wivu tu unakusumbua Kwa kuwa Serikali ya Mhe.Samia inavyofanya kazi nzuri na unajua Mkutano huo unaenda kuvuruga kila kitu huko Arusha..
CCM inapendwa sana,Serikali ya Mhe.Dkt.Samia inapendwa sana na inazidi kufanya makubwa Kwa Walimu na Watumishi wote wa Umma..
Matope
 
Ukiwa Mtumishi wa Umma unaheshimu serikali iliyopo madarakani kwani hiyo serikali ndio Boss wako.Katibu mkuu wa CCM yupo huko Arusha Kwa niaba ya Mhe.Rais ambaye ndiye Mwenyekiti Wa Chama CCM..
Sio mbaya Kwa wao kwenda kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM...Nadhani mleta thread ni Wivu tu unakusumbua Kwa kuwa Serikali ya Mhe.Samia inavyofanya kazi nzuri na unajua Mkutano huo unaenda kuvuruga kila kitu huko Arusha..
CCM inapendwa sana,Serikali ya Mhe.Dkt.Samia inapendwa sana na inazidi kufanya makubwa Kwa Walimu na Watumishi wote wa Umma..
Ni hakika ulikua umebanwa mavi wakat unqtema huu uharo
 
Ukiwa Mtumishi wa Umma unaheshimu serikali iliyopo madarakani kwani hiyo serikali ndio Boss wako.Katibu mkuu wa CCM yupo huko Arusha Kwa niaba ya Mhe.Rais ambaye ndiye Mwenyekiti Wa Chama CCM..
Sio mbaya Kwa wao kwenda kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM...Nadhani mleta thread ni Wivu tu unakusumbua Kwa kuwa Serikali ya Mhe.Samia inavyofanya kazi nzuri na unajua Mkutano huo unaenda kuvuruga kila kitu huko Arusha..
CCM inapendwa sana,Serikali ya Mhe.Dkt.Samia inapendwa sana na inazidi kufanya makubwa Kwa Walimu na Watumishi wote wa Umma..
Dah
 
Ukiwa Mtumishi wa Umma unaheshimu serikali iliyopo madarakani kwani hiyo serikali ndio Boss wako.Katibu mkuu wa CCM yupo huko Arusha Kwa niaba ya Mhe.Rais ambaye ndiye Mwenyekiti Wa Chama CCM..
Sio mbaya Kwa wao kwenda kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM...Nadhani mleta thread ni Wivu tu unakusumbua Kwa kuwa Serikali ya Mhe.Samia inavyofanya kazi nzuri na unajua Mkutano huo unaenda kuvuruga kila kitu huko Arusha..
CCM inapendwa sana,Serikali ya Mhe.Dkt.Samia inapendwa sana na inazidi kufanya makubwa Kwa Walimu na Watumishi wote wa Umma..
Elimu yako tafadhari !
Huu ujinga utaisha hadi lini?
 
Back
Top Bottom