johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu wa mkoa wa Arusha ameanza kazi rasmi na kuwaomba wana Arusha kumpa ushirikiano ili kwa pamoja waijenge Arusha mpya.
Wananchi wa Arusha wameahidi kumpa ushirikiano na pia wamemshukuru Rais Magufuli kwa mabadiliko hayo.
Wamesema wana Arusha kwa sasa uongozi wote kuanzia RC, RPC, Kamanda wa Takukuru, DC ni wapya na wao wataikamilisha safu hiyo Oktoba kwa kumstaafisha mbunge Lema.
Maendeleo hayana vyama!
Wananchi wa Arusha wameahidi kumpa ushirikiano na pia wamemshukuru Rais Magufuli kwa mabadiliko hayo.
Wamesema wana Arusha kwa sasa uongozi wote kuanzia RC, RPC, Kamanda wa Takukuru, DC ni wapya na wao wataikamilisha safu hiyo Oktoba kwa kumstaafisha mbunge Lema.
Maendeleo hayana vyama!