KERO Arusha: Wanawake takriban 200 waandamana na ndoo mpaka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakidai "Hatuna maji miaka 10"

KERO Arusha: Wanawake takriban 200 waandamana na ndoo mpaka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakidai "Hatuna maji miaka 10"

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Zingatia maelezo yangu kwa umakini na umuhimu mkubwa sana.

Lema alisitisha utarabu na miradi yote ya maendeleo Arusha na alikataa bajeti zote za maendeleo Arusha. Wangepataje maji maskini ya Mungu 🐒
Lema katoka lini ubunge Arusha?

Kwanini hadi leo bado hakuna maji? Ni bado Lema anazuia?
 
Wala sitashangaa kukuta hii ni staged drama. Mwamba kaandaa maandamano ya kina mama kisha ahutubie kutatua mgogoro kwanza kwa kumgombeza meneja wa dawasco ya arusha kisha kupiga simu kwa mama na waziri uweso kuwaweka kwenye loud speaker wakiwa hewani washirikiane kutatua tatizo la maji arusha
Bongo kuna kazi ..
 
Lema katoka lini ubunge Arusha?

Kwanini hadi leo bado hakuna maji? Ni bado Lema anazuia?
Hakuwahi kufanya chochote Arusha zaidi ya kubomoa hata vitu vidogo vilivyokuako kabla yake...

hakuruhusu chochote cha maendeleo kufanyika Arusha. Aliapa kupambana na kulumbana na serikali na kupinga kila kilichopamgwa kwa ajili ya Arusha..

Alikua akitamani watu was Arusha waokoke ili waondokane na tabu walizikua wakipitia, huku akisingizia serikali na CCM

so msingi wa wanachopitia watu wa Arusha ni lema 🐒
 
Hakuwahi kufanya chochote Arusha zaidi ya kubomoa hata vitu vidogo vilivyokuako kabla yake...

hakuruhusu chochote cha maendeleo kufanyika Arusha. Aliapa kupambana na kulumbana na serikali na kupinga kila kilichopamgwa kwa ajili ya Arusha..

Alikua akitamani watu was Arusha waokoke ili waondokane na tabu walizikua wakipitia, huku akisingizia serikali na CCM

so msingi wa wanachopitia watu wa Arusha ni lema 🐒
Maandamano ya Mchongo ya RC
 

Attachments

  • FB_IMG_1727368868627.jpg
    FB_IMG_1727368868627.jpg
    57.3 KB · Views: 2
Bora wao hawajapata maji miaka kumi sisi wa ubungo dar kata ya msakuzi hatujapata maji miaka 63 ya uhuru na Samia na awesu Kila siku wanapita na V8 zao
 
Hakuwahi kufanya chochote Arusha zaidi ya kubomoa hata vitu vidogo vilivyokuako kabla yake...

hakuruhusu chochote cha maendeleo kufanyika Arusha. Aliapa kupambana na kulumbana na serikali na kupinga kila kilichopamgwa kwa ajili ya Arusha..

Alikua akitamani watu was Arusha waokoke ili waondokane na tabu walizikua wakipitia, huku akisingizia serikali na CCM

so msingi wa wanachopitia watu wa Arusha ni lema 🐒
Haya sasa nearly ten years mbunge ccm na sasa hv mmepata anayweza wavusha bado ngoma ngumu
 
Back
Top Bottom