Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Weeeeh, hiyo Mikoku, Sime na Rungu vitafanya nini, hao ni bora Wafe 100 wabaki wawili lakini wasiache kupiganaMbona polisi hawajapiga mabomu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeeeh, hiyo Mikoku, Sime na Rungu vitafanya nini, hao ni bora Wafe 100 wabaki wawili lakini wasiache kupiganaMbona polisi hawajapiga mabomu?
Nadhani ingefaa waandamane Arusha yote kama hilo ni tatizo la Arusha..Haya sasa nearly ten years mbunge ccm na sasa hv mmepata anayweza wavusha bado ngoma ngumu
Polisi wataua watu wengi sn..Maandamano yanapaswa yawashtukize Polisi.
..Chadema wamekuwa wakifanya makosa kuwapa notisi Polisi kuwa wataandamana.