Polisi hawakupata intelijensia?
Acha uchoko wewe!Haya ndio maandamano ninayoyapenda ya kudai maendeleo sio siasa za kina Boni mvunjiwa yai
USSR
Lema katoka lini ubunge Arusha?Zingatia maelezo yangu kwa umakini na umuhimu mkubwa sana.
Lema alisitisha utarabu na miradi yote ya maendeleo Arusha na alikataa bajeti zote za maendeleo Arusha. Wangepataje maji maskini ya Mungu π
Bongo kuna kazi ..Wala sitashangaa kukuta hii ni staged drama. Mwamba kaandaa maandamano ya kina mama kisha ahutubie kutatua mgogoro kwanza kwa kumgombeza meneja wa dawasco ya arusha kisha kupiga simu kwa mama na waziri uweso kuwaweka kwenye loud speaker wakiwa hewani washirikiane kutatua tatizo la maji arusha
Hawa Mbunge wao ni nani?
LaanaHuu utawala huu....kila siku misuko suko.
Kule Clifford huku Atown
Ni aibu kwa Makonda na CCM.
Akikujibu unishtue KiongoziLema katoka lini ubunge Arusha?
Kwanini hadi leo bado hakuna maji? Ni bado Lema anazuia?
Yes sababu hana akili timamuHii itakuwa ni movie imeandaliwa na Makonda apate Kiki.
Hakuwahi kufanya chochote Arusha zaidi ya kubomoa hata vitu vidogo vilivyokuako kabla yake...Lema katoka lini ubunge Arusha?
Kwanini hadi leo bado hakuna maji? Ni bado Lema anazuia?
Huu ji mchongo wa Ndugu Poul Christian Makondaa
Maandamano ya Mchongo ya RCHakuwahi kufanya chochote Arusha zaidi ya kubomoa hata vitu vidogo vilivyokuako kabla yake...
hakuruhusu chochote cha maendeleo kufanyika Arusha. Aliapa kupambana na kulumbana na serikali na kupinga kila kilichopamgwa kwa ajili ya Arusha..
Alikua akitamani watu was Arusha waokoke ili waondokane na tabu walizikua wakipitia, huku akisingizia serikali na CCM
so msingi wa wanachopitia watu wa Arusha ni lema π
Mbona polisi hawajapiga mabomu?
Maandamano ya Mchongo ya RC
Acha yani uyo ch%%%oko anamkejeli mbowe afu maji mkoa hayatoki mat### yakeMbona polisi hawajapiga mabomu?
ukitamzama vizur Lema na Makenzi wa Kenya ni kama walikua na Lengo moja hivi lakini Mungu akatuepusha na shakahola ya bongo Arusha πMaandamano ya Mchongo ya RC
Haya sasa nearly ten years mbunge ccm na sasa hv mmepata anayweza wavusha bado ngoma ngumuHakuwahi kufanya chochote Arusha zaidi ya kubomoa hata vitu vidogo vilivyokuako kabla yake...
hakuruhusu chochote cha maendeleo kufanyika Arusha. Aliapa kupambana na kulumbana na serikali na kupinga kila kilichopamgwa kwa ajili ya Arusha..
Alikua akitamani watu was Arusha waokoke ili waondokane na tabu walizikua wakipitia, huku akisingizia serikali na CCM
so msingi wa wanachopitia watu wa Arusha ni lema π