Azarel JF-Expert Member Joined Aug 25, 2016 Posts 28,916 Reaction score 40,479 Sep 27, 2024 #41 Benjamini Netanyahu said: Mbona polisi hawajapiga mabomu? Click to expand... Weeeeh, hiyo Mikoku, Sime na Rungu vitafanya nini, hao ni bora Wafe 100 wabaki wawili lakini wasiache kupigana
Benjamini Netanyahu said: Mbona polisi hawajapiga mabomu? Click to expand... Weeeeh, hiyo Mikoku, Sime na Rungu vitafanya nini, hao ni bora Wafe 100 wabaki wawili lakini wasiache kupigana
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Sep 27, 2024 #42 MAJIYAPWANI said: Haya sasa nearly ten years mbunge ccm na sasa hv mmepata anayweza wavusha bado ngoma ngumu Click to expand... Nadhani ingefaa waandamane Arusha yote kama hilo ni tatizo la Arusha.. huo ni miongni tu mwa mitaa midogo ambayo hata hivyo huenda maji yapo ispokua wao wenyewe wanahujumu miundombinu ya maji.. Hata hivyo, kwa RC makonda limeisha hilo 🐒
MAJIYAPWANI said: Haya sasa nearly ten years mbunge ccm na sasa hv mmepata anayweza wavusha bado ngoma ngumu Click to expand... Nadhani ingefaa waandamane Arusha yote kama hilo ni tatizo la Arusha.. huo ni miongni tu mwa mitaa midogo ambayo hata hivyo huenda maji yapo ispokua wao wenyewe wanahujumu miundombinu ya maji.. Hata hivyo, kwa RC makonda limeisha hilo 🐒
U Unitman JF-Expert Member Joined Jul 14, 2021 Posts 511 Reaction score 671 Sep 27, 2024 #43 Hawa wamama ni wajanja saana CCM huwa wanafanya kitu kwa masirahi ya siasa sio TAIFA.. kwenye kampeini ni muda muafaka wa kudai haki uliyonyimwa kwa miaka 5 baada ya uchaguzi unasubiri 2030.
Hawa wamama ni wajanja saana CCM huwa wanafanya kitu kwa masirahi ya siasa sio TAIFA.. kwenye kampeini ni muda muafaka wa kudai haki uliyonyimwa kwa miaka 5 baada ya uchaguzi unasubiri 2030.
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Sep 27, 2024 #44 Hawakupigwa mabomu?
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Sep 28, 2024 #45 JokaKuu said: ..Maandamano yanapaswa yawashtukize Polisi. ..Chadema wamekuwa wakifanya makosa kuwapa notisi Polisi kuwa wataandamana. Click to expand... Polisi wataua watu wengi sn
JokaKuu said: ..Maandamano yanapaswa yawashtukize Polisi. ..Chadema wamekuwa wakifanya makosa kuwapa notisi Polisi kuwa wataandamana. Click to expand... Polisi wataua watu wengi sn