SN.BARRY JF-Expert Member Joined Oct 12, 2012 Posts 4,038 Reaction score 8,929 Mar 20, 2021 #241 joshua_ok said: Hawa wazazi wameishia wapi? Click to expand... TRA walizitapika zile milioni 500 kwenye akaunti. Masomo yanaendelea.
joshua_ok said: Hawa wazazi wameishia wapi? Click to expand... TRA walizitapika zile milioni 500 kwenye akaunti. Masomo yanaendelea.
Idimi JF-Expert Member Joined Mar 18, 2007 Posts 15,328 Reaction score 11,192 Mar 21, 2021 #242 SN.BARRY said: TRA walizitapika zile milioni 500 kwenye akaunti. Masomo yanaendelea. Click to expand... Afadhali. Tupinge sana unyang'anyi wa TRA. Kama kuna kesi na hao jamaa, waende mahakamani, sio kufunga akaunti. Huu ni ukiukwaji wa utawala wa sheria.
SN.BARRY said: TRA walizitapika zile milioni 500 kwenye akaunti. Masomo yanaendelea. Click to expand... Afadhali. Tupinge sana unyang'anyi wa TRA. Kama kuna kesi na hao jamaa, waende mahakamani, sio kufunga akaunti. Huu ni ukiukwaji wa utawala wa sheria.