Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Sasa mnawalaumu kuwa bodaboda mmewapa kazi mbadala?

Binafsi nawapenda mana i shop instagram delivery mwanzo mwisho sihangaiki everr
Sokoni nk
Naona wanarahisisha maisha
 

Unamuingelea jpm yupi? Aliyeficha pesa China au JPM aliyejiita kichaa mwenye faili milembe.
 

Upinzani gan unapozumgumzia?? Hivi nyie Wananchi ni wajinga kiasi hiki?.

Kuna Upinzani ulouona hapa Nchini unaomwakilisha Mtanzania?.
 
Roma mkatoriki alikuwa na impact gani kwenye tungo na mashaili ya nyimbo zake mpaka avunje vidole na kupolwa vifaa vya studio?
 
Hivi kanisa la ufufuo na uzima bado lipo? Au baba askofu yupo bize na majukumu?
 
Unamuingelea jpm yupi? Aliyeficha pesa China au JPM aliyejiita kichaa mwenye faili milembe.
Huna akili, Panama Pepa ilivujisha majina ya watu waloifadhi Pesa nje ya Nchi, Akina JK, na wengineo wapo.


Unadhan Kwa namna JPM alivyowakaba kooo, walishindwa wazungu kumuumbua????.
 
Sio vibaya tukatofautisha maoni na kuweka uhalisia kwa Siasa "zilizokosekana"

Jionee mwenyewe haya
Haya ndio yalikosekana; mijadala ya kukejeli na kubeza Watazania na ajira zao.
 
Waacheni waendelee kukiwasha....watanzania sio mambulula kihivyo....mwana kulitafuta mwana kulifind

Watanzania wapo huru. Sasa hivi wanafanya siasa bila kuogopa Kama Kuna watu wasiojulikana.
 
Upinzani gan unapozumgumzia?? Hivi nyie Wananchi ni wajinga kiasi hiki?.

Kuna Upinzani ulouona hapa Nchini unaomwakilisha Mtanzania?.

Wewe chawa wa Magufuli utaona zuri la Upinzani. Magufuli ameingia madarakani 2015, kazuia Upinzani usifanye siasa kwa miaka saba. Ni juzi hapa ndipo Upinzani umeruhusiwa kufanya siasa. Ulitakaje? Uchaguzi wameibiwa, Viongozi wao wanashambuliwa na riasasi, wengine kuuawa, ulitakaje? Tuache unafiki wa kijinga wa kuongea vitu tusivyovijua.
 
Sasa mnawalaumu kuwa bodaboda mmewapa kazi mbadala?

Binafsi nawapenda mana i shop instagram delivery mwanzo mwisho sihangaiki everr
Sokoni nk
Naona wanarahisisha maisha
Logical non sequitur.

Watanzania wengi huona lawama hata pale ambapo hapana lawama.

Ndivyo hivyo mtu anaambiwa hapa pananuka mavi, anaona kalaumiwa kwamba yeye mchafu.

Wakati inawezekana yeye hana lawama kwa sababu ile harufu kashaizoea na hajui kwamba ipo.
 
Mimi sio bodaboda Ila nawaheshimu sana maana wapo watu wazima wenye familia na wanasomesha Watoto kwa kazi hiyo
Woodland = Countrywide = kibaha Mjini = akili kisoda = Mchapiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…