Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Ila kuna angle CHADEMA inabidi watambue kwamba wanatakiwa ku move on..

Mimi kama mwananchi ukianza kuniambia story za awamu ya tano, haunisaidii chochote...

Ndio tunajua awamu ya tano ilikuwa na mambo ya hovyo.. but keep blaming doesnt change what has already happened.
 
Ila Chadema wanachosha kila siku Magufuli hakuna habari nyingine kutoa sera zenu kwa wananchi alafu mkishindwa uchaguzi mnaanza kulaumu mnaibiwa kura sasa hivi unatabiri kabisa kama vile unabet lakini kila mkutano wao lazima wamzungumzie Magufuli as if ndio wanashindana nae kisiasa 2025
 
😲 Ndio maana kuna baadhi ya watu nikikutana nao wamevaa baibui sometimes nakuwa na mashaka nao sana.
Kumbe inaweza kuwa ni wanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…