Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Hudhuria mikutano ya CDM utasikia au fuatilia tang kufunguliwa kwa mikutano! NB; Sheria za Nchi hazimzuii raia kuelezea madhira aliyopitia, mtake msitake kila mmoja ataeleza mateso na maumiv tu haijalishi walinda legacy watachukia ama la!!!Kila mtu akisema yanayomuuma si tutageuza taifa kuwa kituo cha maombolezo. Tangu huyo lema afike siskii sera yoyote aliyosema zaidi ya kashfa tu! Kwa mtaji huo 2025 wataendelea kuwa wapiga debe
Haoni sababu au siyo? Dalali wa kutorosha Madini ndio tumuachie? Haipo hiyoWewe utakuwa malaya wa siasa kwani unakurupuka kwa jambo la kibiashara na kulifanya la kisiasa. Lema ni mchimbaji wa Tanzanite anao mgodi wake hivyo haoni sababu ya kuzuiwa kufanya biashara kwa uhuru bila kuvunja sheria.
Kwani wakiwa huko hawazalishi?nisome mstari kwa mstari utanielewa vizuri sana, lengo langu sio kuwadharau au kuwakejeli bali lengo ni kuhakikisha Taifa linanufaika moja kwa moja na kwa kiasi kikubwa na nguvu kazi hasa ya vijana.
Vijana wenye nguvu ndio msingi wa ujenzi wa Taifa, kuchezea hii nguvu kazi ni hatari sana.
Lema ameendeleza dharau Kwa watu maskini akisema vikoba ni umaskini.
Ikumbukwe Vicoba ni ubunifu wa wamama katika kujikwamua ila kama kawaida kwa kuwa amefanywa kipofu Ili aumbuke amewatukana tena wamama.
Watu maskini eleweni kwamba huyo sio mtu wenu na kama hamuamini endeleeni kimshabikia.
Kwa hiyo wasubiri mpaka serikali itakapowapatia maisha bora ndio waanze kutafuta, kwa sasa wakae tu nyumbani?
Mkeo angekuwa mmoja wa hao vikoba ungujuta siku ambayo angevamiwa nyumbani na kundi la kinamama wakiwa na maneno ya kila ajna yenye kumkashifu, ubunifu ni ule wenye tija siyo huu unaoweka shilingi elfu tano kisha unapewa shilingi elfu tano! Hapo umepata faida gani?Lema ameendeleza dharau Kwa watu maskini akisema vikoba ni umaskini.
Ikumbukwe Vicoba ni ubunifu wa wamama katika kujikwamua ila kama kawaida kwa kuwa amefanywa kipofu Ili aumbuke amewatukana tena wamama.
Watu maskini eleweni kwamba huyo sio mtu wenu na kama hamuamini endeleeni kimshabikia.
Hujui kitu wewe mbumbumbu,pesa za Asilimia 10 za Halmashauri zinakopeshwa vikoba, serikali Kupitia nmb inakopesha wamama Kupitia Vicoba nk nkKama kweli mnawajali why msiwakopeshe kwenye mabenk yenu?
Mnapenda kuwafanya watu mazezeta Sana,
Kuna mtu umewahi kusikia amefanikiwa kuwa tajiri Kwa vikoba vya elf 20 20 Kwa wiki?
Lisu,Azory,kanguye,Alphonce Mawazo na Ben Saanane? Sasa kwa taarifa yako wote walioonekana kuwa na active opposition politics walitakiwa waondoshwe maana Magu kupitia wapambe na wanufaika wa utawala wake walikuwa wamesha anza mchakato wa kutaka Magu aongezewe mda ili eti amalizie miradi mikubwa aliyoianzisha. Hivi unaujua ugomvi wa aliyekuwa PDGTIS( Naibu mkurugenzi wa usalama wa taifa) ndugu Makungu na Bashite mpaka akawa demoted na kupelekwa Tabora kuwa RAS? Endelea kuota kuwa Magu aliwapenda Bashite na Sabaya sababu ya uchapakazi.Lema ana impact gani au nisababu zipi auliwe
Hiyo Kenge haiwezi kukuelewaAkili ndogo haiwezi kuelewa positively ilichoongea akili kubwa. Lema analenga kuwamsha msiridhike na maisha hayo bali mdai Serikali iwajengee mazingira ya kupata maisha bora zaidi.
Lema ni chizi kalishwa upupu na wazungu na diaspora ameona aanze na Madesa na vizenga asije sahau, Lema ni mpumbavu he says things without deep rooted analysis for each case, Lema ni fala alopitiliza, he is back with personal attacks and primitive noises.Godbless Lema tangu arudi ametoa kauli zilizoibua mijadala, hisia nyingi sana na tafsiri za kila aina kutoka katika makundi mbalimbali ya kijamii.
Amezungumza kuhusu uduni wa ajira za bodaboda na VICOBA visivyo na maana yoyote kwenye jamii ambapo yeye anasema hivi vitu ni "urasimishaji wa umaskini' unaofanywa na watawala. Ameongelea pia hadaa za nabii mkuu Geor Davie wa huko Arusha.
Amegusa vijana, wanawake na dini ambayo ni makundi makubwa sana ya mtaji katika siasa za nchi hii. Japo yote aliyoongelea ndio ukweli mtupu lakini chama chake pia bado kina malengo ya kushika dola hivyo bado kinayahitaji sana haya makundi yote.
Tanzania anayoitazama lema ni ile ya kisasa iliyoendelea, yenye maendeleo ya watu na vitu ambayo raia wake wengi wana ishi hadhi ya binadamu wa karne ya 21. Kwa bahati mbaya sana hatujaifikia hiyo Tanzania na hivyo Lema anapaswa kukubaliana na hali halisi ya sasa tu.
Kama yeye na chama chake wanataka kushika madaraka siasa wanazopaswa kufanya ni zile zile za kijanja janja za kuwahadi bodaboda, mama ntilie, wamachinga na makundi ya dini kwamba watawatengenezea mazingira mazuri zaidi ya kufanya kazi zao na kushamiri. Wenye nguvu katika chama kwa "maslahi ya chama na kushika dola" waafikiane naye asiongele mambo ya gigabyte(GB) katika bongo za watu zinazoweza kuhimili Megabyte(MB) tu.
Mlinda legacy nakushaur usipanic wala usiwe na hasira! Je kabatilisha sheria ya uuzaji madini na kaweka sheria yake? Kama kaifuta sheria ya uuzaji madini na kaweka yake bas anastahili kupelekwa Mahakaman haraka san!!Je huyu Nabii wenu fake nyie Chadema ni Mzalendo wa kweli?
Hujui kitu wewe mbumbumbu,pesa za Asilimia 10 za Halmashauri zinakopeshwa vikoba, serikali Kupitia nmb inakopesha wamama Kupitia Vicoba nk nk
Sasa kama ni hivo kosa la Lema liko wapi?😄Hata wezi na matapeli wanasomesha watoto wao kwa kazi hizo za laana wazifanyazo.
Afungiwe speed gavana kwa sababu amesema mwanao akiendesha bodaboda ni laana😁Godbless Lema tangu arudi ametoa kauli zilizoibua mijadala, hisia nyingi sana na tafsiri za kila aina kutoka katika makundi mbalimbali ya kijamii.
Amezungumza kuhusu uduni wa ajira za bodaboda na VICOBA visivyo na maana yoyote kwenye jamii ambapo yeye anasema hivi vitu ni "urasimishaji wa umaskini' unaofanywa na watawala. Ameongelea pia hadaa za nabii mkuu Geor Davie wa huko Arusha.
Amegusa vijana, wanawake na dini ambayo ni makundi makubwa sana ya mtaji katika siasa za nchi hii. Japo yote aliyoongelea ndio ukweli mtupu lakini chama chake pia bado kina malengo ya kushika dola hivyo bado kinayahitaji sana haya makundi yote.
Tanzania anayoitazama lema ni ile ya kisasa iliyoendelea, yenye maendeleo ya watu na vitu ambayo raia wake wengi wana ishi hadhi ya binadamu wa karne ya 21. Kwa bahati mbaya sana hatujaifikia hiyo Tanzania na hivyo Lema anapaswa kukubaliana na hali halisi ya sasa tu.
Kama yeye na chama chake wanataka kushika madaraka siasa wanazopaswa kufanya ni zile zile za kijanja janja za kuwahadi bodaboda, mama ntilie, wamachinga na makundi ya dini kwamba watawatengenezea mazingira mazuri zaidi ya kufanya kazi zao na kushamiri. Wenye nguvu katika chama kwa "maslahi ya chama na kushika dola" waafikiane naye asiongele mambo ya gigabyte(GB) katika bongo za watu zinazoweza kuhimili Megabyte(MB) tu.
Unaacha kuhangaika na viongozi matajiri wa CCM ambao wanaendelea kujitajirisha kwa kutorosha matrilioni ya pesa zetu na kuzificha nchi za nje huku wakinua mpo vichawa visivyo na akili vitawatetea na kuwalinda.Haoni sababu au siyo? Dalali wa kutorosha Madini ndio tumuachie? Haipo hiyo
Kwa hiyo kuvaa baibui ni swala gumu ambalo ameweza kufanya kwa ajili ya faida yangu? Shen** taipNyie mnaona ni mambo ya mzaha ndio maana mnakejeli waliyopitia wapambanaji hawa.
Hamna lolote mnaweza kufanya gumu kwa faida ya wengine ndio maana mnaweza tabia kama za yule askari wa Zanzibar.
Shame on you!