Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,973
- 13,647
Nikurekebishe kidogoHapana hapana nyinyi wenyewe chadema Kila mnakoenda mnategemea hao hao boda boda huwezi kuwaita bodaboda ni laana sio kweli ,,yeye mwenyewe lema hapo kabla alikuwa anafanya kazi Gani ? Kazi za viwandani zinamshahara wa shilingi ngapi? Unewahi kujua Hilo? Mm nawajua watu wa bodaboda ambao Leo wamejenga nyumba zao na wanamaisha pia TU !! Unataka serikali iajiri watu milioni 60? Huko america Kuna omba omba na wengine wanalala kwenye makorido lakini Kuna madereva bodaboda kabisa kwenye majimbo yote ya marekani usitumie siasa kutweza utu wawatu!
Sina chama tuanzie hapa
Bodaboda ni laana nukta..
Umeona Europe au North America kuna bodaboda? Umejiuliza kwa nini?
Ajira ndio tatizo huku kwetu. Watoto wanasoma shule wanaishia kuendesha bodaboda si laana hii!
Read between the lines utaelewa.
Wakubwa wanajilipa millions for doing nothing( anzia hapa… pesa za walipa kodi ni za Maendeleo ya wananchi sio watawala)
Ni laana