Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alienda kwa Sabaya?Lema ameelekeza kampeni yake nyumba Kwa nyumba Karatu, hii NI ngome kubwa Kwa chadema. Je, atamtembelea Dr. Slaa kimya kimya nyumbani kwake au watapanda wote jukwaani?
Kama anaweza kwenda gerezani kumwona Sabaya kwanini asiende kumwona Dr. Slaa? Je, utakuwa msimamo wa Dr. Slaa kuhusu bodaboda na Vicoba? Ataungana na Lema au watatofautiana kifikra?
Msikilizeni kwenye hixi video clips na mtaelewa ninachomaanisha!
Wale wa mapovu na mioshi mingi tukutane pia
Maana watu makini huishi kwa tafakuri!View attachment 2537706
Huo udokta wako wa majalalaniLema ndio kilaza wa taifa Kwa sasa
Who are you? Nchi ya babako hii wewe mpuuzi? Ungekuwa Mungu Sawa lakini wewe ni mpuuzi tu Fulani unayetegemea fadhili za mwanadamu kuishi!Tutamrudisha alipotoka
hao watakao uliza swali hilo watakuwa wapumbavu maana lema amesema bodaboda ni kaz ya laana so obvious watoto wake hawawez kuwa kwenye hio kazKuna watu watauliza kama watoto wa Lema nao wanaendesha boda au lah 😄
watoto wa kitila mkumbo ni bodaboda hilo swali likijibiwa natoka jf.bangi za apo arumeru mbaya sana
hoja hapa bodaboda ni kaz ya laana ndio maana watoto wa kitila mkumbo na madelu huwez kuwakuta kwenye hio kaz tofaout na BOT,TRA NA SEHEMU ZINGINE KAMA HIZO. So kitila hana moral authority kuzungumzia kuwa bodaboda ni kaz nzuri ikiwa watoto wake hawapo huko na akome kabisa.Kwamba kwa sababu watoto wake hawaendeshi basi ndio halamisha uharamu?
Akili za wanasiasa wengine bwana.
Labda amejikita kwenye Takwimu za MOIKwamba kwa sababu watoto wake hawaendeshi basi ndio halamisha uharamu?
Akili za wanasiasa wengine bwana.
Halafu kwa threads zenu kama hizi ndio mnategemea mamayenu huko ccm ashinde uchaguz 2025, itakuwa muujiza wa JEO DEVI.Kuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..
Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.
Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?
Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?
Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Kuna watu watamsema Lema, ila kiukweli nchi yetu imekuwa ni ya kibaguzi na yenye upendeleo mwingi katika suala zima la ajira na pia elimu.
Watoto wa vigogo wa cha cha mapinduzi na serikali yake, huwezi kuwakuta kwenye shule za kata, na pia kwenye kazi za kawaida kama ualimu, bodaboda, unesi, nk. Wao utawakuta BOT, TRA, NHIF, TPA, PPRA, nk. Yaani ni full viyoyozi, huku wakiwa na uwezo wa kawaida kabisa vichwani mwao.
Hili jambo linahuzunisha sana.