Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Alikuwa anavaa baibui akienda kukagua migodi yake ya madini
Alivaa kwa sababu nyingine sio hiyo. Hao waomtafuta hawaijui migodi yake? Wangeifunga hata hiyo kwenda na baibui angeitolea wapi?
Huyo aeleze kwa nn anavaa mavazi ya kike
 
Kwani yeye amesema alivaa baibui kwa sababu ipi??-- sababu ya yeye kuvaa baibui iwe ndio msingi wa hoja.
Kuna mtu anavaa nguo fulani bila sababu? Hata wanaovaa suti au Madera huwa na sababu
 
Kuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..

Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.

Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?

Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?

Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Unajua maana ya camouflage ewe taahira? Tatizo umezidi upumbavu
 
Samia awaruhusu hawa jamaa kuitukana serikali kwa sababu naona sasa wametugeukia wananchi. Kiongozi wao mlimbukeni ameanzisha kamepeni ya dharau na matusi kwa wananchi.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mimi nimeuliza swali tu je sio doa kwa chadema? Kama mnaona wanaume kuvaa baibui na Madera sio shida basi sawa
Wewe unaona doa liko wapi? Alivyovaa baibui uchumi uliporomoka? Mama yako alipata mimba isiyokuwa na baba? Kinyeo chako kiliwasha? Sasa kama alitumia trick kunasuka kwenye adui zake, wewe kinachokuuma ni kuvaa baibui au kunasuka kwenye maharamia? Kenge wewe
 
Kuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..

Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.

Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?

Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?

Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Amesema kazi yake ambayo anayo pia isiyo ya kichama.. fikra ziende kwenu nje ya boksi..
Mi nilidhani atauliza Kama lema alipata majini..maana tunaambiwa vibaraghashia na mabaibui ukivaa wayapata
 
Wewe unaona doa liko wapi? Alivyovaa baibui uchumi uliporomoka? Mama yako alipata mimba isiyokuwa na baba? Kinyeo chako kiliwasha? Sasa kama alitumia trick kunasuka kwenye adui zake, wewe kinachokuuma ni kuvaa baibui au kunasuka kwenye maharamia? Kenge wewe
Mashoga ndio hutoa hizi sababu, utaskia kwani nisipofanywa utafilisika, uchumi utashuka.

Nimeanza kuelewa vizuri hiko chama
 
Kuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..

Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.

Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?

Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?

Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Huu ni ujinga wa hali ya juu. bado uko zile karne za kuwaona wanawake ni kama viumbe najisi, visivyotakiwa kuheshimiwa? Wewe bado una zile akili matope za kudhani kumwita mtu ni mwanamke ni tusi?
 
Alivaa kwa sababu nyingine sio hiyo. Hao waomtafuta hawaijui migodi yake? Wangeifunga hata hiyo kwenda na baibui angeitolea wapi?
Huyo aeleze kwa nn anavaa mavazi ya kike
  • Sababu ndio ilikuwa hiyo, alivaa baibui Ili iwe rahisi kufika kwenye mgodi Wake, kama una sababu nyingine hizo Baki nazo
  • Kuvaa baibui mbona pia Mgombea wa ACT pangani alivaa baibui Wakati wa kurudisha Fomu ya Ugombea Ubunge wa Pangani, alivaa baibui Kwa sababu CCM Kwa kushirikiana na Police walikuwa wanapiga Fomu wagon eat wa Vyama vingine wenye nguvu Ili wapite bila kupingwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2020
 
Kuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..

Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.

Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?

Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?

Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
DC kazulamimba unahangaika sana
 
Kuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..

Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.

Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?

Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?

Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Ni mbinu tu hizo za kukwepa polisi Tanzania bwashee, acha kukuza mambo we mtoto wa kiume
 
Kuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..

Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.

Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?

Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?

Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Kwa hiyo na WOWO alikua analitikisa ili WAJUE kabisa yeye ni demu wa kutongoza? Duuuuuuh, lema bwaaanaa
 
Mimi nimeuliza swali tu je sio doa kwa chadema? Kama mnaona wanaume kuvaa baibui na Madera sio shida basi sawa
Nyerere alivaa baibui kutoka ikulu hadi mjimwema kunusuru maisha yake ....sijui kama unalijua hilo
 
Sema wafuasi wa GeorDavie wamejua kumchamba Lema aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom