Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Alafu kweli, miguu yake kama imepinda hivi. Anaumwa nn?Kwani unamwonaje Lema ? Si ni mkubwa kuanzia kwa magoti kwenda juu ? Hivi unajua tabia za watu wenye maumbo makubwa kwenda juu kama lema?
Alivaa kwa sababu nyingine sio hiyo. Hao waomtafuta hawaijui migodi yake? Wangeifunga hata hiyo kwenda na baibui angeitolea wapi?Alikuwa anavaa baibui akienda kukagua migodi yake ya madini
Aliyejadili hayo ni lema mwenyewe. Sisi tulikua hata hatujui kuwa anavaaga baibuiMmekosa vyakujadili hadi mnajadili ujinga.
Kuna mtu anavaa nguo fulani bila sababu? Hata wanaovaa suti au Madera huwa na sababuKwani yeye amesema alivaa baibui kwa sababu ipi??-- sababu ya yeye kuvaa baibui iwe ndio msingi wa hoja.
Mtu akikuambia amewahi kubakwa, hata akikupa sababu inasaidia nini ikiwa kishabakwa?Ni vzr ungetoa maelezo yote aliyosea kuhusu kuvaa baibui, acha kutengeneza concept yako!!
Unajua maana ya camouflage ewe taahira? Tatizo umezidi upumbavuKuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..
Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.
Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?
Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?
Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Wewe unaona doa liko wapi? Alivyovaa baibui uchumi uliporomoka? Mama yako alipata mimba isiyokuwa na baba? Kinyeo chako kiliwasha? Sasa kama alitumia trick kunasuka kwenye adui zake, wewe kinachokuuma ni kuvaa baibui au kunasuka kwenye maharamia? Kenge weweMimi nimeuliza swali tu je sio doa kwa chadema? Kama mnaona wanaume kuvaa baibui na Madera sio shida basi sawa
Kuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..
Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.
Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?
Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?
Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Mi nilidhani atauliza Kama lema alipata majini..maana tunaambiwa vibaraghashia na mabaibui ukivaa wayapataAmesema kazi yake ambayo anayo pia isiyo ya kichama.. fikra ziende kwenu nje ya boksi..
Mashoga ndio hutoa hizi sababu, utaskia kwani nisipofanywa utafilisika, uchumi utashuka.Wewe unaona doa liko wapi? Alivyovaa baibui uchumi uliporomoka? Mama yako alipata mimba isiyokuwa na baba? Kinyeo chako kiliwasha? Sasa kama alitumia trick kunasuka kwenye adui zake, wewe kinachokuuma ni kuvaa baibui au kunasuka kwenye maharamia? Kenge wewe
Mbona haulizi ikiwa watoto wa bakhressa nao hawaendeshi boda!?Hili swali japo bado halijajibiwa na Prof Kitila Mkumbo lakini linafikirisha sana
Watoto wa Viongozi
Mungu wa mbinguni awabariki!
Huu ni ujinga wa hali ya juu. bado uko zile karne za kuwaona wanawake ni kama viumbe najisi, visivyotakiwa kuheshimiwa? Wewe bado una zile akili matope za kudhani kumwita mtu ni mwanamke ni tusi?Kuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..
Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.
Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?
Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?
Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Alivaa kwa sababu nyingine sio hiyo. Hao waomtafuta hawaijui migodi yake? Wangeifunga hata hiyo kwenda na baibui angeitolea wapi?
Huyo aeleze kwa nn anavaa mavazi ya kike
DC kazulamimba unahangaika sanaKuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..
Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.
Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?
Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?
Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Kinachokuuma wewe ni kuvaa baibui au kunasuka?Mashoga ndio hutoa hizi sababu, utaskia kwani nisipofanywa utafilisika, uchumi utashuka.
Nimeanza kuelewa vizuri hiko chama
Ni mbinu tu hizo za kukwepa polisi Tanzania bwashee, acha kukuza mambo we mtoto wa kiumeKuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..
Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.
Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?
Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?
Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Kwa hiyo na WOWO alikua analitikisa ili WAJUE kabisa yeye ni demu wa kutongoza? Duuuuuuh, lema bwaaanaaKuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..
Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.
Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?
Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?
Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Nyerere alivaa baibui kutoka ikulu hadi mjimwema kunusuru maisha yake ....sijui kama unalijua hiloMimi nimeuliza swali tu je sio doa kwa chadema? Kama mnaona wanaume kuvaa baibui na Madera sio shida basi sawa