Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Tatizo binadamu hawapendi kuambiwa ukweli,
 
Mkuu nikuulize leo hii una kijana wako ungependa asajili line kama kazi ya kumuingizia kipato?
Hamna ambaye hataki kijana wake apigwe kiyoyozi na kulipwa atleast million 5 kwa mwezi. Shida hizo kazi za maslahi hayo zina wenyewe.

Makapuku tunapigana vikumbo kwenye mishahara ya laki na nusu hadi laki 4. Hapo unahaso kweli ukiipata kazi ya laki 3 unashukuru Mungu unakubaliana na muhindi tu.

Kwa sasa kazi za kulipwa million 1 tu unaweza ukaota mvi hujawahi kukanyaga ofisi yeyote ile. Ni huzuni af unakuta kuna shogar mmoja anaongea mavi!
 
Lema ni mjinga na limbukeni nimeanza kuona ujinga wake na zarau tangu alipotoka huko kanada tumuulize hivi yeye ametengeneza ajira ngapi Kwa vijana? Na yeye anaweza kufanya nini nje ya siasa? Atuonyeshe mfano kwanza sio kutukana vijana wakati yeye mwenyewe anategemea Kodi za hao hao vijana zimlishe yeye na familia yake wakati huo yeye kama yeye Hana uwezo wa kuitengenezea nchi Kodi kama walivyo hao vijana anaowaponda ifike mahali hii siasa inayotegemea mdomo na umbea na uwongo mwingi iwe ni kazi ya kipato Cha chini kabisa nafikiri hata yeye angekimbia nakuidharau pia siku zote jambo usiloweza kulitatua huna haja ya kulizungumzia
 
Lema yupo sahihi watu tunampinga bure tu na ndio maana takwimu ya watu wasio nafuraha duniani tz huwa hatukosi kwa sababu hizi hizi kuwa na Kundi kubwa la ajira za ubabishaji babaishaji Mara boda Bora Mara sijui vikoba ambapo kipato chake ni Bora kula si chakula Bora
 
Unaposema boda boda ni kazi ya laana, kusajili laini ni kazi ya kipuuzi hutaki mwanao umuone anaifanya utamfukuza kwako, vikoba ni laana sijui hutaki mkeo ajihusishe navyo kabisa...
Lema ni mpuuzi sana japo chadema watakuja apa kumtetea anaongea vitu apate fame na attention Kwa sababu ameona watz ni watu wa ku entertain vitu vya kijinga
 
Wafanyakazi wa kampuni za simu, wale wanaokaa kwenye kiyoyozi kwenye maduka.
Huoni cost zitakua juu, na ku compensate kampuni zitaongeza bei ya huduma kufidia?,
Hii hali ilitokea hapa marekani, vyama vya wafanyakazi wakadai mishahara mikubwa,, Kampuni za US, kwa maana ya viwanda, wakaona hawawezi maana cost zinakuwa juu sana, viwanda vikahamia china,,
Asilimia 70 ya industrial base ya US ilihamia china,,
Leo hii marekani anatumia trilion of USD kuagiza bidhaa china,, kuanzia asprin, mitambo mpaka chupi,,
Kwa sababu bidhaa toka China zinakuwa cheap kuliko bidhaa za marekani,, viwanda vya marekani viliamua ku outsource production kwenda china, sababu gharama za uzalishaji marekani ziko juu, kwa sababu vyama vya wafanyakazi wanataka wafanyakazi wote wapate mishahara sawa na mkurugenzi wa kampuni😁.
So ukimuona Lema kakonda hadi kubaki kilo 45,pamoja na pesa huko nje alikua anapata za kutosha, ujue maisha sio rahisi
 
-Ila Jamaa wa kusajili Line Wana Hussle sana asikwambie mtu.
- Mhe Lema naona kawasahau wale wanaotembeza mabeseni mitaani
 
Mdogo wangu aliajiliwa makampuni ya solar akawa anazurula kutwa nzima mwisho wa mwezi anapewa elf 30 nikamwambia acha hio kazi au nikufukuze kwangu aka anza kufuga kuku sasa hivi yupo vizuri ana duka la mtaani mwanga anauona

Wewe ulimwambia aache hiyo kazi aangalie kazi nyingine,hukuishia kumkoromea tu kwanini anafanya kazi hiyo.
 
Mkuu nikuulize leo hii una kijana wako ungependa asajili line kama kazi ya kumuingizia kipato?
It can be a stepping stone while figuring something else, sometimes I may use that one to assess her attitude towards self reliance.
 
Lema yupo sahihi watu tunampinga bite tu na ndio maana takwimu ya watu wasio nafuraha duniani tz huwa hatukosi kwa sababu hizi hizi kuwa na. Kundi kubwa la ajira za u ababishaji ambapo kipato chake ni Bora kula so chakula Bora
Kaka wewe na Lema toeni solution, stop the complains and blame game. Hamna ambaye haelewi kuwa bodaboda sio career.

Kama maisha ni marahisi waachieni boda boda ofisi hizo nyie mkapambane mtaani kama wengi wenu hamjakimbilia hizo hizo boda boda. 🀣🀣🀣
 
"Nikisikia mwanangu ni bodaboda au anasajili laini inabidi atafute sehemu ya kukaa, kwangu simtaki tena," alisema Lema.
Akimfukuza ndio anakuwa amemsaidia nini?
wewe ndiye hukumuandalia mazingira ya kazi nyingine,
 
Hata udreva wa mabasi ni kazi ya hatari sana,, lakini haina maana mabasi yapigwe marufuku, watu kwa maelfu wanakufa kwa mwaka kwa ajali za mabasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…