Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeacha kuituma naona Kuna watu wanajifanya wajuaji mle😡🚮Hadithi yako imeishia sehemu ya ngapi?
Wishing and getting are different. Unaweza kuwish lakini uhalisia ukawa mwingineMaisha yetu magumu sana lakini hamna mzazi anayelipa ada ili mwanae aje kuwa bodaboda.
Hamna mzazi anayepata mimba na kuwish atakaye mzaa aje kusajili line
Mwache Lema atupe hiyo 'exposure' ya kuishi CANADA kwa mwaka mmoja na atufundishe jinsi maisha yanavyopaswa kuwa hata kama ni kwa kutusimanga.Kuna wengine wameishi huko miaka zaidi ya 20 lakini hawajapata 'exposure' kama ya Mh.Lema. What a genius man,mwaka mmoja tu amerudi ni mwalimu wa kila kitu [emoji3]Shida ni kwamba na wanaoleta taarifa za Lema humu wanadokoa statement tata wanaleta hivyohivyo bila maelezo ya ziada au source of information,watu wanaanza kujadili kila mtu na fikra zake.
Mfano kuna Uziuliwekwa humu,Lema kasema kujenga ukuta Mererani ni ushamba(hio ilikuwa heading)ila source haikuwekwa,nilipofualitilia ni kweli alisema hivyo ila kuna maelezo mengi alitoa kuhusu hilo na alitoa ushauri mzuri tu,na akasema kwa kuwa viongozi wote wapo Arusha(semina) atawashauri mawazo yake.
Nadhani tunahitaji media serious imualike kwa mahojiano atoe ufafanuzi juu ya kauli zake hizi,tujue hasa anamaanisha nini.
Leo East Africa radio walikuwa na uongozi wa Bodaboda Dar,wale viongozi nao walilaumu hio kauli wakisema kwamba watu wanasomesha wanajenga na kwa siku boda hakosi 30,000(Siku mbaya) kwamba kwa mwezi hakosi 800,000 na kwamba wanawazidi hata kada fulani ya waajiriwa serikalini.
Baadae mtangazaji akaanza kuwadadisi,kama mna kipato hicho inakuwaje mnakosa bima ya afya ya 1,200,00 kwa mwaka?wakaanza bla bla kwamba hio tumetaja ni kama ukiweka akiba,wakaambiwa kwa takwimu za muhimbili kila siku wanapokea majeruhi 6 wa bodaboda pale,wakadai eti hao sio bodaboda ila ni vijana wa mikoani wameletwa kubeba mayai kusambaza kitu ambacho ni uongo.
Je unaweza kufanya kazi ya Bodaboda kuanzia ujana hadi uzee?Je utapenda mtoto wako arithi kazi yako? hawakuwa na majibu ya maana.
Ukweli ni kwamba kauli ya Lema kwa juu juuu inakera ila ukiingia ndani ukweli upo,Ilikuwa wamtafute Lema bahati mbaya naona hawakufanikiwa mpaka kipindi kinaisha.
Taja wakati wowote ambao uliwahi kumuona ana akili.Lema akili hana nimemuona mshamba sana kama kila jambo anajifanya amelibaini baada ya kufika Canada
USSR
Bodaboda wengi wanakubaliana naye. Wanakubali kuwa kazi yao ni ya laana kwa namna wanavyochukuliwa, pia kwa mambo wayafanyayo kupitia hiyo kaxi.Unaposema boda boda ni kazi ya laana, kusajili laini ni kazi ya kipuuzi hutaki mwanao umuone anaifanya utamfukuza kwako, vikoba ni laana sijui hutaki mkeo ajihusishe navyo kabisa.
From a standing point wewe ni mkimbizi wa kisiasa umebebwa huko Canada for over a year. Umepata PR na familia yako na privileges nyingi huko. Umeyaona maisha kwa utofauti hilo hatukatai. Najua kwa sasa wewe watoto wako wanaweza wakaishi huko Canada for whatever reasons, huko ada hazilipwi ni serikali kila kitu. Mzazi kazi yako ni kulipa kodi ya nyumba na utilities tu.
Viwanda na Private companies ziko kibao kiasi kwamba ishu ya kupata cha kufanya wakimaliza vyuo ni wao kuamua tu kukaa kwenye corporate sphere, kwenda kuuza migahawa, kukwangua mabarafu na kutawaza wazee.Maybe sio kazi za hovyo atleast kwa uchumi wa Canada maana hata wazungu wenyewe wa huko hawazitaki.
That being said, wewe unapata wapi guts za kusema kuwa Watanzania wanafanya kazi za laana esp. Boda boda, wasajili line na wauza mboga wanaocheza vikoba? Okay, hizo kazi ni za laana atleast kwa fikra zako lakini ushajiuliza kuna ugumu kiasi gani kwa hapa Tanzania when it comes to making ends meet?
Sidhani kama una idea kwamba graduate aliyemaliza chuo anaetoka familia hohehae anapitia ugumu kiasi gani na fedhea ilioje pale anapokosa ajira na hana mtaji! Usicheze na maisha ya watu kabisa, huna ajira una mke na mtoto huna chanzo cha pesa unafikiria kitakachofuata nini?
Utakaa chini unaangalia familia iangamie? Boda boda ndio quick fix ya maisha yetu ya dhiki walau familia zile na maisha yaende, vikoba ndio quick fix ya mikopo ya benki bila masharti magumu.
Toa solution watu wafanye nini baada ya kuachana na hizo kazi za laana. Sio unaropoka hovyo tu bila kuwa na substance. Tanzania sio Canada watu wanakolipwa dollar 15-20 kwa kazi ya saa 1. Huku unapigishwa mzigo masaa 12 unalipwa elfu 4 na hamna kitu utaongea.
Lema amekuwa mjinga baada ya kupata exposure. Nilidhani kukaa Canada kutamuongezea uwezo wa kutafakari.Anashauri watu wasiokuwa na means zingine wafanye nini?
Hiyo inayomfanya ajue wapi ni wapiUnahitaji akili gani kufanya kazi ya bodaboda au kusajili laini??
Huo ndio ushauri wangu kwa ndugu Lema. Naamini hamna mtu atakataa kazi ya kuwa Kamishna wa TRA au Naibu waziriBodaboda wengi wanakubaliana naye. Wanakubali kuwa kazi yao ni ya laana kwa namna wanavyochukuliwa, pia kwa mambo wayafanyayo kupitia hiyo kaxi.
Zaidi hata wao kuna wanasema wanaiganya kwa kuwa hawaona namna nyingine na kuna wanaoifanya lakini wanapambana zaudi ili waachane nayo.
Ushauri wangu. Watafuteni hao bodaboda ili mbadilishane kazi, wapeni zenu, mchukue za kwao
Afadhari nyie mliokaa nnje kwa muda mrefu msaidieni apunguze ujuaji wa kuishi Canada kwa muda mfupi.Anakoelekea anageuka kuwa kichekeshoJamaa ni kama yule kipofu alieona punda
Kufika Canada ameona kama miujiza ameshangaa na ni ushamba tu kuona maisha ya huko ni tofauti
Angekaa miaka 10 angetukana wanaokula Ugali Walahi
Nawajua baadhi ya watu wanapokuja nje na wwkirudi nyumbani hujiona wamebadili maisha na kuwaona wengine kama mbuzi tu
Nimekaa nje karibia miaka 50 ila hata siku moja sijawashangaa maisha ya jamaa zetu huko ila nawaombea always maisha yawabadilikie
Anawatukana watu wakati yeye na familia wanakula hela za wakimbizi
Amejilipua ukimbizi na kujidhalilisha kwa wazungu
Watoto wanasoma kwa jasho la walipa kodi Canada
Badala aseme njia mbadala yeye anayashangaa maisha aliokulia mpaka kafika hapo
Anafananisha Canada na Tanzania anataka wawe sawa
Jamaa kumbe ni mshamba kiasi hicho
Ulimbukeni mbaya sana
Kufika Canada kaanza kutukana washikaji
Mzabeni makofi huyo [emoji1]
Leo mmemgeukia JPM na sera ya viwanda?Lazima kama Nchi tuhakikishe vijana wanapata ajira za viwandani au mashambani , kule Kyela siku za nyuma kidogo kulikuwa na vijana waliokuwa wakifanya biashara ya kusafirisha mizigo mizito kwa baiskeli , walijulikana kwa jina la NJEMUKE ( kwa kiswahili ni kama kuchemka au kutobweteka )
Hawa walitumia baiskeli ya Phoenex , sijui ilitengenezwa wapi , walibeba mizigo mizito sana huku wakiendesha baiskeli hizi , lakini baadaye wakaanza kupukutika kwa maradhi ya kifua hadi tukaaanza kuwapa elimu kwamba ni bora waingie kwenye kilimo .
Kwahiyo watu waweza kuwa wanafanya jambo linaloonekana linawasaidia lakini kumbe nyuma yake kuna madhara makubwa
Mkuu.Exactly, he lacks substance!
Unaposema boda boda ni kazi ya laana, kusajili laini ni kazi ya kipuuzi hutaki mwanao umuone anaifanya utamfukuza kwako, vikoba ni laana sijui hutaki mkeo ajihusishe navyo kabisa.
From a standing point wewe ni mkimbizi wa kisiasa umebebwa huko Canada for over a year. Umepata PR na familia yako na privileges nyingi huko. Umeyaona maisha kwa utofauti hilo hatukatai. Najua kwa sasa wewe watoto wako wanaweza wakaishi huko Canada for whatever reasons, huko ada hazilipwi ni serikali kila kitu. Mzazi kazi yako ni kulipa kodi ya nyumba na utilities tu.
Viwanda na Private companies ziko kibao kiasi kwamba ishu ya kupata cha kufanya wakimaliza vyuo ni wao kuamua tu kukaa kwenye corporate sphere, kwenda kuuza migahawa, kukwangua mabarafu na kutawaza wazee.Maybe sio kazi za hovyo atleast kwa uchumi wa Canada maana hata wazungu wenyewe wa huko hawazitaki.
That being said, wewe unapata wapi guts za kusema kuwa Watanzania wanafanya kazi za laana esp. Boda boda, wasajili line na wauza mboga wanaocheza vikoba? Okay, hizo kazi ni za laana atleast kwa fikra zako lakini ushajiuliza kuna ugumu kiasi gani kwa hapa Tanzania when it comes to making ends meet?
Sidhani kama una idea kwamba graduate aliyemaliza chuo anaetoka familia hohehae anapitia ugumu kiasi gani na fedhea ilioje pale anapokosa ajira na hana mtaji! Usicheze na maisha ya watu kabisa, huna ajira una mke na mtoto huna chanzo cha pesa unafikiria kitakachofuata nini?
Utakaa chini unaangalia familia iangamie? Boda boda ndio quick fix ya maisha yetu ya dhiki walau familia zile na maisha yaende, vikoba ndio quick fix ya mikopo ya benki bila masharti magumu.
Toa solution watu wafanye nini baada ya kuachana na hizo kazi za laana. Sio unaropoka hovyo tu bila kuwa na substance. Tanzania sio Canada watu wanakolipwa dollar 15-20 kwa kazi ya saa 1. Huku unapigishwa mzigo masaa 12 unalipwa elfu 4 na hamna kitu utaongea.