Godbless Lema ni mwanasiasa contraversial na anaependwa sana Jijini Arusha. Kinachompa umaarufu sasa ni kurejea nchini kutoka Canada, ni kama vile bado ana kimuhe muhe cha kutaka kuelezea alichokiona Canada kulinganisha na nyumbani Tanzania.
Ameanza kwa kukosoa kazi za boda boda, vikundi vya Vicoba, na mengine. Swali la kujiuliza ni kwamba, yeye mwenyewe anafanya biashara gani inayomlipa?
Hawa vijana wataenda wapi? Ndio sio sawa ila lazima wapate makazi, chakula na kulea watoto wao vizuri. Je, tuna lolote la kujifunza kutoka kwa Godbless?
What businessess are you in Sir?