Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Unaposema boda boda ni kazi ya laana, kusajili laini ni kazi ya kipuuzi hutaki mwanao umuone anaifanya utamfukuza kwako, vikoba ni laana sijui hutaki mkeo ajihusishe navyo kabisa.

From a standing point wewe ni mkimbizi wa kisiasa umebebwa huko Canada for over a year. Umepata PR na familia yako na privileges nyingi huko. Umeyaona maisha kwa utofauti hilo hatukatai. Najua kwa sasa wewe watoto wako wanaweza wakaishi huko Canada for whatever reasons, huko ada hazilipwi ni serikali kila kitu. Mzazi kazi yako ni kulipa kodi ya nyumba na utilities tu.

Viwanda na Private companies ziko kibao kiasi kwamba ishu ya kupata cha kufanya wakimaliza vyuo ni wao kuamua tu kukaa kwenye corporate sphere, kwenda kuuza migahawa, kukwangua mabarafu na kutawaza wazee.Maybe sio kazi za hovyo atleast kwa uchumi wa Canada maana hata wazungu wenyewe wa huko hawazitaki.

That being said, wewe unapata wapi guts za kusema kuwa Watanzania wanafanya kazi za laana esp. Boda boda, wasajili line na wauza mboga wanaocheza vikoba? Okay, hizo kazi ni za laana atleast kwa fikra zako lakini ushajiuliza kuna ugumu kiasi gani kwa hapa Tanzania when it comes to making ends meet?

Sidhani kama una idea kwamba graduate aliyemaliza chuo anaetoka familia hohehae anapitia ugumu kiasi gani na fedhea ilioje pale anapokosa ajira na hana mtaji! Usicheze na maisha ya watu kabisa, huna ajira una mke na mtoto huna chanzo cha pesa unafikiria kitakachofuata nini?

Utakaa chini unaangalia familia iangamie? Boda boda ndio quick fix ya maisha yetu ya dhiki walau familia zile na maisha yaende, vikoba ndio quick fix ya mikopo ya benki bila masharti magumu.

Toa solution watu wafanye nini baada ya kuachana na hizo kazi za laana. Sio unaropoka hovyo tu bila kuwa na substance. Tanzania sio Canada watu wanakolipwa dollar 15-20 kwa kazi ya saa 1. Huku unapigishwa mzigo masaa 12 unalipwa elfu 4 na hamna kitu utaongea.
Wewe unaendesha Boda boda? Au kuna viongozi ndugu zao wanaendesha Bodaboda?;
 
Atarudi ukimbizini kama mwenzake aache kuzuga ooh anapaka rangi nyumba nonsense [emoji58]

Huu ndiyo ukweli japo ni mchungu kwa wanaomuunga mkono. Hana muda atageuza arudi kula vya bure kwa wazungu. Kwa sasa hawezi tena kusimama mwenyewe kama zamani, ndiyo maana anatupigia mayowe ya uzuri wa maisha ya Canada.
 
Lema kakosa hekima ya uwasilishaji wa hoja zake. ( boda boda, usajiri line ), ni indicator ya kimaisha duni katika nchi , linalotakiwa ni kutengeza mazingira bora hata kwa hizo kazi .. kwenye maisha tunahitajiana ila tuboresheane mazingira na sio kunangana
 
Unaposema boda boda ni kazi ya laana, kusajili laini ni kazi ya kipuuzi hutaki mwanao umuone anaifanya utamfukuza kwako, vikoba ni laana sijui hutaki mkeo ajihusishe navyo kabisa.

From a standing point wewe ni mkimbizi wa kisiasa umebebwa huko Canada for over a year. Umepata PR na familia yako na privileges nyingi huko. Umeyaona maisha kwa utofauti hilo hatukatai. Najua kwa sasa wewe watoto wako wanaweza wakaishi huko Canada for whatever reasons, huko ada hazilipwi ni serikali kila kitu. Mzazi kazi yako ni kulipa kodi ya nyumba na utilities tu.

Viwanda na Private companies ziko kibao kiasi kwamba ishu ya kupata cha kufanya wakimaliza vyuo ni wao kuamua tu kukaa kwenye corporate sphere, kwenda kuuza migahawa, kukwangua mabarafu na kutawaza wazee.Maybe sio kazi za hovyo atleast kwa uchumi wa Canada maana hata wazungu wenyewe wa huko hawazitaki.

That being said, wewe unapata wapi guts za kusema kuwa Watanzania wanafanya kazi za laana esp. Boda boda, wasajili line na wauza mboga wanaocheza vikoba? Okay, hizo kazi ni za laana atleast kwa fikra zako lakini ushajiuliza kuna ugumu kiasi gani kwa hapa Tanzania when it comes to making ends meet?

Sidhani kama una idea kwamba graduate aliyemaliza chuo anaetoka familia hohehae anapitia ugumu kiasi gani na fedhea ilioje pale anapokosa ajira na hana mtaji! Usicheze na maisha ya watu kabisa, huna ajira una mke na mtoto huna chanzo cha pesa unafikiria kitakachofuata nini?

Utakaa chini unaangalia familia iangamie? Boda boda ndio quick fix ya maisha yetu ya dhiki walau familia zile na maisha yaende, vikoba ndio quick fix ya mikopo ya benki bila masharti magumu.

Toa solution watu wafanye nini baada ya kuachana na hizo kazi za laana. Sio unaropoka hovyo tu bila kuwa na substance. Tanzania sio Canada watu wanakolipwa dollar 15-20 kwa kazi ya saa 1. Huku unapigishwa mzigo masaa 12 unalipwa elfu 4 na hamna kitu utaongea.
Well said, umeongea kwa umakini kabisa mkuu.
 
Lema kakosa hekima ya uwasilishaji wa hoja zake. ( boda boda, usajiri line ), ni indicator ya kimaisha duni katika nchi , linalotakiwa ni kutengeza mazingira bora hata kwa hizo kazi .. kwenye maisha tunahitajiana ila tuboresheane mazingira na sio kunangana
Ameliwasilisha kimuhemko pasi na tafakari katika minajili ya kwamba anasimanga watu na kuwakebehi.
 
Huu ndiyo ukweli japo ni mchungu kwa wanaomuunga mkono.Hana muda atageuza arudi kula vya bure kwa wazungu.Kwa sasa hawezi tena kusimama mwenyewe kama zamani,ndiyo maana anatupigia mayowe ya uzuri wa maisha ya Canada.
Mkuu hata Lissu angekaa sana Tz posho ingekatwa huko, ndio maana karudi haraka
Huyu nae atakaa mwezi tu halafu huyo anawahi kusaini cheque za kujikimu na wanae
Badala atupiganie diaspora [emoji1] [emoji1787]

Maskini watoto wake wakimbizi halafu anatukana mama lishe
Mke wake ana kazi gani vile [emoji1063]?
Apike vitumbua kwani naye ni mkimbizi tu
 
Mwache Lema atupe hiyo 'exposure' ya kuishi CANADA kwa mwaka mmoja na atufundishe jinsi maisha yanavyopaswa kuwa hata kama ni kwa kutusimanga.Kuna wengine wameishi huko miaka zaidi ya 20 lakini hawajapata 'exposure' kama ya Mh.Lema. What a genius man,mwaka mmoja tu amerudi ni mwalimu wa kila kitu [emoji3]
Sawa
 
Lema ni nabii alisema bwana yule aache Mambo ya ovyo au ataenda zake ikawa. Sasa swala la bodaboda mmemulewa vibaya ..dongo kaipiga serikali kuona bodaboda ni ajira..watu wanalala maofisini Hawana vision kwa Taifa hili ..tuna maliasili kibao kwenye nchi lakini tumezikalia tu...A blessing in disguise
 
Weusi tuna laana sasa tunalalamika ulaana wa bodaboda???

Nendeni MOI Mkaone kazi hiyo ya laana inavomaliza watu sio mnaandika tu.
 
Ana paswa azingatie kauli za kuzungumza yeye kama mwanasiasa asiwe ropo ropo.
nadhani bado hamumuellewi Lema anachomainisha.yuko sahihi kabisa na wala halopoki.hata mm sikubali mtoto wangu kuwa bodaboda au msajili laini hiyo siyo ajira.unawahatarishia watoto wako maisha.
 
nadhani bado hamumuellewi Lema anachomainisha.yuko sahihi kabisa na wala halopoki.hata mm sikubali mtoto wangu kuwa bodaboda au msajili laini hiyo siyo ajira.unawahatarishia watoto wako maisha.
Unataka mtoto wako afanye kazi gani hapa Tanzania ?
 
Kuna mzambuli mmoja alkua Afisa usajili laini(wakuzirula mitaa kwa mitaa) bas kaifanya KAZI yake Kwa weledi siku ya siku mwisho WA mwezi Anapata kamission ya alf25.

Alilaani vibaya sana

Hii KAZI ni nzur endapo unajitafuta tu .
 
Back
Top Bottom