Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,292
- 7,867
Siku ya kiwasili kwake angewafukuza wote na kwenye kampeni zao wasiwatumieAnaongea vitu vya kweli kabsa ila anakikandamiza Chama chake bila shaka kipo anachokipambania
Yeye anaweza akafanya nini? Kumbadilisha boda boda waache kazi yao na awape kazi anayohisi nzuri zaidi ya hiyo
Au atawapa boda boda ajira gani? Ambayo itawafaa anaelekea kupoteza point Kwa chama chake point ya boda boda chadema wanaikosa kupitia G,LEMA
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app