*Nani alijua Happi atakuwa analima nyanya muda huu?
*Nani alijua Polepole angekuwa katupwa Malawi?
*Nani alijua Dr. Bashiru angekuwa mbunge wa huruma ya rais badala ya Katibu mkuu kiongozi?
*Nani alijua Ndugai angekuwa kama mama wa nyumbani ?
*Nani alijua Mungu wa sukuma gang angekuwa anasutwa na kuzodolewa na kila matanzania?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Watembea na misiba kichwani! [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Subiri misukule ya marehemu ije!
Yanasifiwa tu kuwa yalikuwa makubwa kuliko ya Samia ila hayaonekaniNaona hawaposti
Kwe kabisa:Acha tuu Yani hii Dunia Kweli Mungu hanywi uji!?? Miaka kadhaa iliyopita
Nani alijua Sabaya atakuwa jela!?
Nani alijua Makonda atajificha!?
Nani alijua musiba atapotea!?
Nani alijua bwana yule hatakuwepo!?
Nani alijua lisu atarudi nyumbani kwao ( Tz)
Ana alijua doto James atakoka hazina?
Nani alijua chato haitakuwa mkoa tena!?
Aisee heshimini watu sponsor hufa!!!
Bora kupoteza hirizi kuliko kufiwa na mgangaAcha tuu Yani hii Dunia Kweli Mungu hanywi uji!?? Miaka kadhaa iliyopita
Nani alijua Sabaya atakuwa jela!?
Nani alijua Makonda atajificha!?
Nani alijua musiba atapotea!?
Nani alijua bwana yule hatakuwepo!?
Nani alijua lisu atarudi nyumbani kwao ( Tz)
Ana alijua doto James atakoka hazina?
Nani alijua chato haitakuwa mkoa tena!?
Aisee heshimini watu sponsor hufa!!!
Sijui wanaficha niniYanasifiwa tu kuwa yalikuwa makubwa kuliko ya Samia ila hayaonekani
😅😅Hii ndo kali kabisa:
*Nani alijua Ndugai angekuwa kama mama wa nyumbani ?
Sikujua kwanini walijisahau kiasi kile.
🤣Sijui wanaficha nini
Na wengine ndio kisa cha kutokua na imani na samia. Kumtema kijana mzalendo na mwanamapinduzi sabaya na kumfunguliwa mashitaka feki huku akimuachia gaidi mbowe.
wao hayo ndio wanaita mapinduziMapinduzi gani alifanya zaidi ya ujangili, ujambazi na kutesa watu?
Sabaya hawezi kuja kupata cheo chochote, mark this post.Mambo hugeuka, na wala usishangilie eti Sabaya yuko gerezani... Tena ogopa sana hao watuhumiwa wa Kisiasa, kuna siku utakuja kuona Sabaya ni Rais au ni waziri mkuu, kila kesho hubadilika na hata usibeze , muangalie Rais wa Zimbabwe, alikaa gerezani miaka kumi akiwekwa na Serikali ya Rodeshia nyakati hizo, hawa kina Lema pia wala usidhani ni watu wema kwa mawazo yako, eti walionewa tu... Big No, usichokijua usikisemee kwa mihemko ya mapenzi ya siasa
Hv kweli umeishi Canada miaka yote hiyo, Leo unarudi bongo baada ya kazi uliyopata huko ya mkataba kuisha na sasa huna kazi ya kufanya unaitisha mkutano. Unasumbua watu wenye akili zao waache kusaka noti wakasomeshe watoto wao, unatumia masaa 2 kulalamika kuwa ulitaka kuuawa.
Wewe una impact gan had wakuue? Umeona huna agenda ya kuwaaambia wananchi zaidi ya kulalamika kuwa ulitaka kuuawa ili wananchi wakuonee huruma, siasa za kijinga kabisa.
Haya sasa umerudi fanya siasa kaka lema.
Naona wahusika mnazidi kujitokeza tu, na bado mtawekwa waz muda c mref!! Uzuri ameyaongea waz hata DW akihojiwa akasema kila kitu!!Hv kweli umeishi Canada miaka yote hiyo, Leo unarudi bongo baada ya kazi uliyopata huko ya mkataba kuisha na sasa huna kazi ya kufanya unaitisha mkutano. Unasumbua watu wenye akili zao waache kusaka noti wakasomeshe watoto wao, unatumia masaa 2 kulalamika kuwa ulitaka kuuawa.
Wewe una impact gan had wakuue? Umeona huna agenda ya kuwaaambia wananchi zaidi ya kulalamika kuwa ulitaka kuuawa ili wananchi wakuonee huruma, siasa za kijinga kabisa.
Haya sasa umerudi fanya siasa kaka lema.
Hv kweli umeishi Canada miaka yote hiyo, Leo unarudi bongo baada ya kazi uliyopata huko ya mkataba kuisha na sasa huna kazi ya kufanya unaitisha mkutano. Unasumbua watu wenye akili zao waache kusaka noti wakasomeshe watoto wao, unatumia masaa 2 kulalamika kuwa ulitaka kuuawa.
Wewe una impact gan had wakuue? Umeona huna agenda ya kuwaaambia wananchi zaidi ya kulalamika kuwa ulitaka kuuawa ili wananchi wakuonee huruma, siasa za kijinga kabisa.
Haya sasa umerudi fanya siasa kaka lema.
Hahaha[emoji23]Yaani utadhani jeshi la polisi sio lile la Miaka 3 iliyopita...ni kama tumeazima polisi kutoka ulaya kumbe ni akina mponjoli mwaburambo hawa hawa ...akina kingai pamoja na ukatiri wao wa kipindi Cha magufuri lkn kwa sasa ni kama sio waoView attachment 2534352