uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
*Nani alijua Happi atakuwa analima nyanya muda huu?
*Nani alijua Polepole angekuwa katupwa Malawi?
*Nani alijua Dr. Bashiru angekuwa mbunge wa huruma ya rais badala ya Katibu mkuu kiongozi?
*Nani alijua Ndugai angekuwa kama mama wa nyumbani ?
*Nani alijua Mungu wa sukuma gang angekuwa anasutwa na kuzodolewa na kila matanzania?
Hii ndo kali kabisa:
*Nani alijua Ndugai angekuwa kama mama wa nyumbani ?