Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Naona LEMA ameishiwa hoja za maana sasa japo George Davie nae ni Msanii tu
Lema anaongea maneno sahihi kwenyemazingira hasi

Kama ni mwanasiasa ukitaka upate kura ongea uongo halafu waunge mkono watu wanaoaminiwa na kundi kubwa regardless wanafanya madudu au la
 
Jibu hoja sio blah blah
 
 
Toa hoja mbadala ya aliyotoa Lema.Acha ku-quote maoni ya watu tu ili muda uende na wewe uonekane ulibisha kwa kutumia kiuno.
Matusi hayakusaidii zaidi ya kukushusha ,waliowapa jina la manyumbu hakika hawakukosea hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…