whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Lema anaongea maneno sahihi kwenyemazingira hasiNaona LEMA ameishiwa hoja za maana sasa japo George Davie nae ni Msanii tu
Kama ni mwanasiasa ukitaka upate kura ongea uongo halafu waunge mkono watu wanaoaminiwa na kundi kubwa regardless wanafanya madudu au la