Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Lema amewatukana vijana Waliojiajiri kwa kuwaambia wanafanya kazi za laana, hii suala limeacha simanzi kwa vijana wengi sana.

Jana nilikua Arusha nimezunguka sehemu mbalimbali kuona wamepokeaje kauli hii yenye dharau kubwa sana. Hakika walio wengi wanajuta kwa Nini walienda Kumpokea Lema.

Serikali inapambana usiku na mchana ili vijana wapate ajira na wajiajiri alafu leo lema anakuja kuwatukana?

Lema anapaswa kuomba radhi kwa kauli hii. Yeye kwa kuwa anakula na kulala bure kule canada basi anataka watu wote waishi hivyo kitu ambacho hakiwezekani. Imeandikwa kwenye vitabu takatifu kuwa mwanaume atakula kwa jasho, wewe inakuaje unakula bure alafu unaleta dharau kwa wanaokula kwa jasho?

Lema anapaswa kuomba radhi mara moja kwa kauli hii.
Kwa bwan country wide huwa nakuelewa San kwenye mamb fln kiukweli hi kauli ya lema haikubalik kwa namna yoyote ile kudharu na kutweza Kaz na utu wa mtu leo hi lema akiambia ataje watoto au wamam alowasadia yey Hadi kufika vyiuo vikuu hakuna hata mmoja leo hi anakuja kuadharau watu arusha

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Lema has zero knowledge about economy, bodaboda ni moja ya shughuli za kiuchumi sio Tanzania Bali nchi nyingi Africa, Asia , Europe/ USA.

Cha msingi ni serikali kutoa elimu Bora Kwa madereva na abiria jinsi ya kutumia chombo hicho Kwa njia iliyo salama na sahihi.
 
Jana nimemsikiliza Godbless Lema akisema Rais Samia 'ana nidhamu ya demokrasia'. Ni maneno yanayofanana na kile ambacho Mbowe amekuwa akikisema mara zote, ndicho ambacho Lissu anakisema.

Rais Samia Suluhu ni mwanadamu, ana makosa mengi tu.

Lakini hakuna jambo zuri sana kwa nchi kama kuwa na Rais mwenye utu, msikivu na mnyenyekevu. Hivi vyote tunavipata kwa Rais Samia Suluhu.

Nchi iko salama, tumeungana kama Taifa na mambo yote yanaenda kwa uzuri sana.

Tuujenge uchumi wetu, tusaidiane na Rais Samia.
 
Awamu ya 5 ingemfunga au kummaliza chezeaa yule Mzee alikuwa muuaji
 
Lema maisha yake yote amekuwa akitafuta sympathy politics. Kabla ya kukosa ubunge alikaa nchini kipindi chote. Baada ya kukosa ndio akaanza siasa za kutaka kuuawa. Tena baada ya uchaguzi.

Sasa tujiulize
1. Je angeshinda ubunge angetengeneza hii tamthiliya anayoicheza kwa misukule wa ufipa?
2. Kama alihisi vitisho kwa nini alisubiri mpaka matokeo ya ubunge yatangazwe ndio akimbie je tuamini kile kilichosemwa na Zitto?
3. Mbona hakutoa taarifa za kutishiwa kipindi chote cha kampeni zaidi ya kuishia kubishana na Gambo kila siku?
4. Yeye alikuwa mbunge toka 2015 Magu alipoingia, je iweje vitisho vianze baada ya kukosa ubunge?

Ukitafakari haya utaona ni kwa kiwango Lema yupo kwenye harakati za mfa maji na anatafuta pa kujiokolea.
 
Kazi za kuingiza kipato zipo nyingi lakini sio zote zakujivunia. Bodaboda sio kazi ya kujivunia hata kidogo.
Kunawakati watu waliaminishwa kwamba unyonge nijambo la kujisifia. Watu walijiita viongozi wa wanyonge. Nakumbuka Mbowe alisema kuambiwa wanyonge nikudharauliwa. Nilikubaliana na hoja yake.
Hao wanaoshabikia vijana wajiajiri kwenye bodaboda mbona wao wameomba ubunge?
Mbona watoto na jamaa zao sio mabodaboda?
Ndio hiyo nikazi lakini sio yakujivunia. Kubangaiza sio neema bado
 
Hebu wewe washawishi wanajukwaa kwamba Lema ni muongo.
Usicheze na uhai wa mtu. Mtu kama alifanikiwa kuutorosha mwili usidhurike na roho isiuage mwili,muache atoe yamoyoni.
 
Jina lako tu linatosha kueleza kwanini umeleta uzi huu Mkuu.
 
Hv kweli umeishi Canada miaka yote hiyo, Leo unarudi bongo baada ya kazi uliyopata huko ya mkataba kuisha na sasa huna kazi ya kufanya unaitisha mkutano. Unasumbua watu wenye akili zao waache kusaka noti wakasomeshe watoto wao, unatumia masaa 2 kulalamika kuwa ulitaka kuuawa.

Wewe una impact gan had wakuue? Umeona huna agenda ya kuwaaambia wananchi zaidi ya kulalamika kuwa ulitaka kuuawa ili wananchi wakuonee huruma, siasa za kijinga kabisa.

Haya sasa umerudi fanya siasa kaka lema.
Tushajua wewe ni team marehemu
 
Lema maisha yake yote amekuwa akitafuta sympathy politics. Kabla ya kukosa ubunge alikaa nchini kipindi chote. Baada ya kukosa ndio akaanza siasa za kutaka kuuawa. Tena baada ya uchaguzi.

Sasa tujiulize
1. Je angeshinda ubunge angetengeneza hii tamthiliya anayoicheza kwa misukule wa ufipa?
2. Kama alihisi vitisho kwa nini alisubiri mpaka matokeo ya ubunge yatangazwe ndio akimbie je tuamini kile kilichosemwa na Zitto?
3. Mbona hakutoa taarifa za kutishiwa kipindi chote cha kampeni zaidi ya kuishia kubishana na Gambo kila siku?
4. Yeye alikuwa mbunge toka 2015 Magu alipoingia, je iweje vitisho vianze baada ya kukosa ubunge?

Ukitafakari haya utaona ni kwa kiwango Lema yupo kwenye harakati za mfa maji na anatafuta pa kujiokolea.
Hivi bado ni 7000/= au ishagapanda? Maana Boom lenyewe tu limepandishwa tayari.
 
Huyo anayedaiwa alikua mwizi wa magari atakua na sababu gani zaidi ya kuleta uongo mtupu. Eti alitaka kuwawa na nani.

Kwanza hakua tishio lolote kisiasa kwa serikali ya ccm. Na tunamshukuru zitto kwa kutueleza ukweli. Vibaraka hawa walipewa offer na mabeberu wakimbilie nje kama wakimbizi ili kutumika dhidi ya nchi yao.

Badala ya kuruhusiwa kupatiwa makaribisho ya kupanga walitakiwa kukamatwa kwa usaliti.
Wapumbavu kama nyie ndio mnalirudisha taifa nyuma
 
Hebu wewe washawishi wanajukwaa kwamba Lema ni muongo.
Usicheze na uhai wa mtu. Mtu kama alifanikiwa kuutorosha mwili usidhurike na roho isiuage mwili,muache atoe yamoyoni.
Mwambie ukweli huyo kenge!
 
Back
Top Bottom