Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Akili ndogo haiwezi kuelewa positively ilichoongea akili kubwa. Lema analenga kuwamsha msiridhike na maisha hayo bali mdai Serikali iwajengee mazingira ya kupata maisha bora zaidi.
Tusiridhike where is the roadmap, mimi mtu ambaye analaumugi tu bila kutoa solutions huwa namchukia. Show people the way round kuwa msifanye uboda boda instead fanyeni abc mtatoka. Sio unakaa unaleta kejeli za kichoko kama kambishoga halafu huna solutions.

Yeye kaenda kupakatwa Canada 🍁 kama mkimbizi wa kisiasa kaishi maisha mazuri leo hii analeta ujuaji. Alikuwa mbunge miaka yote hio boda boda wapo what did he do to overcome the problem?

Watu wanaendesha boda boda sababu hamna options, graduate anakaa miaka 5 hana kazi matokeo yake anakuwa mzigo nyumbani. Umemaliza shule hadi mdogo wako kamaliza anakukuta kaka huna mishe. Unawaza tu how to get out bila ku earn chochote?

The easy way out ni ku tap buku buku hizo kupitia boda boda. Eventually atakula na kulipa kodi ya chumba. Ila baada ya graduation ungemwambia kuna contract hii hapa ya kuwa mhasibu wa shirika na huku kuna kuendesha boda boda sidhani kama angejiuliza mara mbili kabla ya kusaini mkataba.
 
Ha
Kwanza vinasanabisha wake zetu wagongwegongwe ovyo Ili tu kupata Hela ya rejesho
hahaha nilimpiga marufuku bibie kujihusisha na huo ujinga kama kazi rasmi hana. Wasio na kazi rasmi na wafanya biashara ndio wanatiwa sana kwenye marejesho ya vikoba.
 
Kwa hiyo wasubiri mpaka serikali itakapowapatia maisha bora ndio waanze kutafuta, kwa sasa wakae tu nyumbani?
Anatombwer huyo mcengerema. Anaongea murvy bila kushirikisha ubongo. Maisha yalivyo magumu nani atakulisha umekaa tu?😀
 
Mimi pia sioni faida,yaan pesa zako unaweka halafu unakuja kurudishiwa mwisho wa mwaka..then what? Kwamba umeshindwa kuhifadhi wewe mwenyewe? Kama hyo ndo logic
Hahahahahah hapo ndipo mie pia sielewagi logic ya vikoba. Sema atleast wale wanao engage na mikopo huwa wanaweka some amount ya riba huwa naona wako vizuri.
 
Godbless Lema amewatukana vijana Waliojiajiri kwa kuwaambia wanafanya kazi za laana, hii suala limeacha simanzi kwa vijana wengi sana.

Jana nilikua Arusha nimezunguka sehemu mbalimbali kuona wamepokeaje kauli hii yenye dharau kubwa sana. Hakika walio wengi wanajuta kwa Nini walienda Kumpokea Lema.

Serikali inapambana usiku na mchana ili vijana wapate ajira na wajiajiri alafu leo lema anakuja kuwatukana?

Lema anapaswa kuomba radhi kwa kauli hii. Yeye kwa kuwa anakula na kulala bure kule canada basi anataka watu wote waishi hivyo kitu ambacho hakiwezekani. Imeandikwa kwenye vitabu takatifu kuwa mwanaume atakula kwa jasho, wewe inakuaje unakula bure alafu unaleta dharau kwa wanaokula kwa jasho?

Lema anapaswa kuomba radhi mara moja kwa kauli hii.
Bodaboda wakiwa ba kazi nzuri mtapata wapi watu wa kudanganya?
 
Vicoba sio kuhifadhi pesa. Wanakopeshana na riba inakuwepo, kuna faini ndogo ndogo pia. Ni kanuni ya Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Kama vicoba havina kazi, basi mfumo wa kukopa pesa nyingi benki na kurudisha nyingi kuliko uliyokopa haina maana pia.
Inaonesha Godiblesi yeye haheshimu complexity ya maisha.
Unajua kwa kule Canada watoto wanasoma free hulipi hata mia. Wewe ni kutafuta hela ya kula na kodi tu ila watoto mpaka highschool huna mzigo.

Amekaa mda mfupi kule akaona maisha yalivyo mazuri ulaya na huku jinsi ambavyo tunapigwa. Exposure ndio inampelekea kutaka kuongea juu ya umaskini wetu ila mtindo anaoutumia ni wa masimango. Kumsimanga mtu bila solution ni kumfedheesha. Huo uijnga ndio sikubaliani nao.
 
Lema ameendeleza dharau Kwa watu maskini akisema vikoba ni umaskini.

Ikumbukwe Vicoba ni ubunifu wa wamama katika kujikwamua ila kama kawaida kwa kuwa amefanywa kipofu Ili aumbuke amewatukana tena wamama.

Watu maskini eleweni kwamba huyo sio mtu wenu na kama hamuamini endeleeni kimshabikia.

Hakuna mwana Siasa atakae kuletea utajiri.

Juhudi juu ya kazi+Juhudi juu ya kazi+Juhudi juu ya kazi
 
Lema ameendeleza dharau Kwa watu maskini akisema vikoba ni umaskini.

Ikumbukwe Vicoba ni ubunifu wa wamama katika kujikwamua ila kama kawaida kwa kuwa amefanywa kipofu Ili aumbuke amewatukana tena wamama.

Watu maskini eleweni kwamba huyo sio mtu wenu na kama hamuamini endeleeni kimshabikia.


Haha huyu jamaa cjui karukwa na akili😅😅 Nan aliyempa kipaza sauti ,atawatukana walalahoi ,Chadema yenyewe ni vicoba
 
Godbless Lema tangu arudi ametoa kauli zilizoibua mijadala, hisia nyingi sana na tafsiri za kila aina kutoka katika makundi mbalimbali ya kijamii.

Amezungumza kuhusu uduni wa ajira za bodaboda na VICOBA visivyo na maana yoyote kwenye jamii ambapo yeye anasema hivi vitu ni "urasimishaji wa umaskini' unaofanywa na watawala. Ameongelea pia hadaa za nabii mkuu Geor Davie wa huko Arusha.

Amegusa vijana, wanawake na dini ambayo ni makundi makubwa sana ya mtaji katika siasa za nchi hii. Japo yote aliyoongelea ndio ukweli mtupu lakini chama chake pia bado kina malengo ya kushika dola hivyo bado kinayahitaji sana haya makundi yote.

Tanzania anayoitazama lema ni ile ya kisasa iliyoendelea, yenye maendeleo ya watu na vitu ambayo raia wake wengi wana ishi hadhi ya binadamu wa karne ya 21. Kwa bahati mbaya sana hatujaifikia hiyo Tanzania na hivyo Lema anapaswa kukubaliana na hali halisi ya sasa tu.

Kama yeye na chama chake wanataka kushika madaraka siasa wanazopaswa kufanya ni zile zile za kijanja janja za kuwahadi bodaboda, mama ntilie, wamachinga na makundi ya dini kwamba watawatengenezea mazingira mazuri zaidi ya kufanya kazi zao na kushamiri. Wenye nguvu katika chama kwa "maslahi ya chama na kushika dola" waafikiane naye asiongele mambo ya gigabyte(GB) katika bongo za watu zinazoweza kuhimili Megabyte(MB) tu.
Amewashitua bodaboda wasihadaiwe na CCM. safi sana. Bodaboda ni laana
 
Back
Top Bottom