Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Tusiridhike where is the roadmap, mimi mtu ambaye analaumugi tu bila kutoa solutions huwa namchukia. Show people the way round kuwa msifanye uboda boda instead fanyeni abc mtatoka. Sio unakaa unaleta kejeli za kichoko kama kambishoga halafu huna solutions.Akili ndogo haiwezi kuelewa positively ilichoongea akili kubwa. Lema analenga kuwamsha msiridhike na maisha hayo bali mdai Serikali iwajengee mazingira ya kupata maisha bora zaidi.
Yeye kaenda kupakatwa Canada 🍁 kama mkimbizi wa kisiasa kaishi maisha mazuri leo hii analeta ujuaji. Alikuwa mbunge miaka yote hio boda boda wapo what did he do to overcome the problem?
Watu wanaendesha boda boda sababu hamna options, graduate anakaa miaka 5 hana kazi matokeo yake anakuwa mzigo nyumbani. Umemaliza shule hadi mdogo wako kamaliza anakukuta kaka huna mishe. Unawaza tu how to get out bila ku earn chochote?
The easy way out ni ku tap buku buku hizo kupitia boda boda. Eventually atakula na kulipa kodi ya chumba. Ila baada ya graduation ungemwambia kuna contract hii hapa ya kuwa mhasibu wa shirika na huku kuna kuendesha boda boda sidhani kama angejiuliza mara mbili kabla ya kusaini mkataba.