Paul kibok
New Member
- May 29, 2016
- 2
- 0
Usahii gani hapo hupo wasajili line wangapi Wana nyumba wengine wamepanga waendesha maisha yao wengine wameoa na wamezeekea humo lema ni asiye na logic uko Canada alipokuwa hakuna wasajili line hakuna wapeleka mizigo nyumbani kwa watu ni muongo na mnafiki tu hana chochote anachojuaYuko sahihi, ni vizuri kuwa mkweli kuliko kuwa mwanasiasa mnafiki