ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

Nimewahi kutumia PEP siku 30 na zenyewe zina maluweluwe kama hizo ARV sina hamu, yaani mtihani. Nilibanduaga kavu kavu malaya aliyekubuhu bila kujua. Sema nilimfaidi sana maana alikuwa fundi kweli kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi IDs zinazoshuhudia maajabu ya ARVs, mara sijui ARVs za siku hizi zina uchachu, mara maluwe luwe[emoji81][emoji81], Kuna watu mnawaumiza vichwa mjue, chain.

All in all ishini kwa matumaini.
“UKIMWI upo na unaua”
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ACHENI KUPEANA MATANGO PORI.

DAMU O+ HAINA CHOCHOTE JUU YA HIV ....

YAAN UKIZENGUA, UNAPATA NGOMA KAMA KAWAIDA.


KWAUFUPI DUNIANI WATU WENYE O+ WANACHUKUA 70% YA IDADI YOTE YA WATU.
Mkuu acha wadanganyane blood group has nothing to do with viral replication in T helper cell of lymphocytes in immune system
Kuna muhumi hapo juu anasema yy alifanya had researched kwa 0+ yake sijui kama anajua maana ya research bahati jf kila mtu ni expert kwenye kila kitu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zinasaidia kwa zaidi ya 80% endapo utawahi kabla ya masaa 72 baada kumbandua mwenye ngoma, pia ufate masharti ya kunywa vidonge vyote kwa muda sahihi kwa mwezi mzima.
Sema sasa ndio uwe mvumilivu maana vinalewesha na unakuwa kama unaumwa hivi.
Unaruhusiwa kunywa POMBE,,, ukiwa unameza PEP...????
 
Kiukweli ukiangalia kama kuna kampeni fulani hv ya kufanya biashara ya arv's.
Zaman mkazo ulikuwa umewekwa kwenye kinga zaid lkn sku hz mkazo unawekwa kwenye kunywa arv's zaid na sio kinga.
 
Ukimwi ni ngumu sana kuupata na ni rahisi sana kuupata kazio kwenye hili eneo mpaka unapata ukimwi ni umeutafuta kwa tochi punguzeni ujuaji kwenye bed ukimwaga inatosha akikudharau unapungukiwa nini?
Bonge moja la point,tatizo watu wanataka kujifanya wanajua maufundi na kutaka kukomeshana.Ww mtu.ndio kwanza umekutana nae huna ata sku 2/3 unajifanya ww ndio unajua sana kusimamia ukucha.Utaupata tu na uwehu wako.
 

Ulimtongoza au alikutongoza?dah....hv huwa mnaongea nini mkiwa na hao wamama watu wazima!?bora mpishane walau 5yrs ..isizidi...napo tu bado kuna mambo hayatakuwa sawa ujue🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…