kyemo
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 570
- 718
Mbona husemi alikujibu nn baada ya kujua umegundua kuwa anatumia arvsNguvu ya kulitongoza limama unatoa wapi? Lilinitongoza lenyewe[emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona husemi alikujibu nn baada ya kujua umegundua kuwa anatumia arvsNguvu ya kulitongoza limama unatoa wapi? Lilinitongoza lenyewe[emoji38][emoji38]
Aliniambia kuwa yeye pale kriniki ana dada yake( ninamfahamu), alimseti kwenye makadi ya dawa ,huwa kuna pesa zikiingia kwa ajili ya kuwagawia wagonjwa,sasa wahusika huwa na wagonjwa wengi hewa,kwa hiyo huwa kuna upigaji,yeye alikuwa mgonjwa feki,Mbona husemi alikujibu nn baada ya kujua umegundua kuwa anaug
Na huwezi amini kuna nyumbu wengi sana wameshaswagwa na huo upotoshaji!Mkuu acha wadanganyane blood group has nothing to do with viral replication in T helper cell of lymphocytes in immune system
Kuna muhumi hapo juu anasema yy alifanya had researched kwa 0+ yake sijui kama anajua maana ya research bahati jf kila mtu ni expert kwenye kila kitu
Uzi pendwa wa baadhi ya wadauTunda kimasihara
joshua si wa kumwamini, post ya kimasihara iyo japo ina ujumbe muruaMkuu kama hutojali..
Kabla ya kugundulika una maambukizi
Je ni dalili gan za awali ulizokua nazo kiasi ukaamua kwenda kupima HIV?
Au ulikua poa tu sema ukaamua kuchek afya yako???
Pole sana mkuu..utazoea tu,,endelea kumeza njegereWakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu, ule utelezi na joto-joto litakugharimu.
UPDATE
Kama umeoa Bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.
Aliniambia kuwa yeye pale kriniki ana dada yake( ninamfahamu), alimseti kwenye makadi ya dawa ,huwa kuna pesa zikiingia kwa ajili ya kuwagawia wagonjwa,sasa wahusika huwa na wagonjwa wengi hewa,kwa hiyo huwa kuna upigaji,yeye alikuwa mgonjwa feki,
Hivyo nikamwambia ili kuondoa utata tukapime, akakataa, nikamuacha,ila kwa mbinde, maana alikuwa ananiendea mpaka kwa waganga,bi mkubwa akaingilia kati mpambano,nikafanikiwa kuchomoka salama.
Kuuumbe zinaitwa njugu! LohNjugu Ni for life
Sio k Ni cTAKAIDS Kama wapo likizo. Mapenzi yanagaiwa Kama njugu mtandaoni
Ohoooo!!!Yale matakataka ya mori na ambiance ndio yamekumalizaa maninaa....
Ule uzi sijui uko wap
Still anasurvive?Aliniambia kuwa yeye pale kriniki ana dada yake( ninamfahamu), alimseti kwenye makadi ya dawa ,huwa kuna pesa zikiingia kwa ajili ya kuwagawia wagonjwa,sasa wahusika huwa na wagonjwa wengi hewa,kwa hiyo huwa kuna upigaji,yeye alikuwa mgonjwa feki,
Hivyo nikamwambia ili kuondoa utata tukapime, akakataa, nikamuacha,ila kwa mbinde, maana alikuwa ananiendea mpaka kwa waganga,bi mkubwa akaingilia kati mpambano,nikafanikiwa kuchomoka salama.
Mm hata za mseto sijawahi maliza kwakweliJe mimi mwoga wadawa siku dokta anambie naukimwi nitakufa kwa presha ya kumeza madonge.
We acha tuMm hata za mseto sijawahi maliza kwakweli
Hata mi najua anazengua...joshua si wa kumwamini, post ya kimasihara iyo japo ina ujumbe murua