Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni story za vijiweni..Ni kweli asilimia kubwa ya watu wenye O+ hawapati HIV kirahisi, nina mfano hai wa mtu wangu wa karibu kabisa, miaka hiyo yule bwana na mahawara zake kibao walishaiacha dunia kwa ukimwi ila yeye yupo hadi leo, kila akipima ni negative
Joshua kama Joshua [emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Msala mwingine kwenye kuchukua hizo ARV Ni mwendo wa counselling ya vikundi na foleni balaa. Mtu mzima unachoreka mpaka ujute. KMamae!
Kuna mwanamama shogangu ana maduka hapo masika .anywysMmmmhhhh
Hahahhahaa subufa shavu limekubali balaa anang'ara balaa..hahahaa waleleeHizi thread za hivi mnatakiwa muwe mna mtag na Mh Subwoofer wa Kongwa zinamhusu sana hizi
Hahaha uwii[emoji1787][emoji1787]Usije kukuta na wewe upo kwenye chain
Itakuwa sio yeye [emoji38][emoji38][emoji119][emoji119]Kuna mwanamama shogangu ana maduka hapo masika .anywys
Huwa mwongo huyu sana[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huendaaa....!Itakuwa sio yeye [emoji38][emoji38][emoji119][emoji119]
Mkuu unaexperience?acheni kuendekeza ngono. ninkweli kabisa ARV zina chosha sana.
Mzee wa machimbo ya wauza nyapu....
Mi ndugu yangu anaishi moro ila anachukulia mnazi mmoja...manesi anawapa mshiko wa maana maana mi ratiba zangu zilibana kuwa namtumia kwenye basi, so wao now ndo wanafanya hii shughuliDaaah nimeshuhudia hii makitu nin a ndugu zangu wa damu kabisa wanapitia hii hali ,yaan wanachoreka balaa.
Hapa kitaa siku ya kuchukua doz inajulikana kabisa kwa wiki mara mbili ,ukipita hayo maeneo haki hata kama ulikuwa na promise hiyo siku utapiga chini jumla.
Wanapewa had lishe ya unga wa ulezi ,sema nashukuru mungu wamekubaliana na hali maana hakuna namna.
Bahat mbaya wote wameupata kwenye ndoa zao ,kabla ya ndoa zao hawakuwa na mambo mengi ila walipo ingia kwenye ndoa ndio wakakutana na hii janga .
Ni mama zangu wadogo wapo wawil wote wameumia [emoji24][emoji24][emoji24] kibaya Zaid waume zao wote walishakata ,hivyo wameachiwa ngoma na ujane juu.
Wadau tuombe mungu tu ngoma unaweza kuipata hata kama sio mwingi wa mambo hii ni kama ajal tu.
Ila kuchoreka hakukwepek maana lazima tu utajulikana pengine ugome kunywa hizo arv ,
Kuna wengine wanawatumia manens ili wawaletee majumban mwao hizo dawa kwa malipo fulani , utafanya ivo lakin Kuna muda utajulikana tu maana Kuna siku itakulazim ufike physically hospital .
Kuna wengine wanachukulia hizo dawa mbali na mji anaoishi mfano mtu anaishi kawe dawa anachukulia mbagala huko lakin dunia Haina Siri utajulikana tu dawa ni kujikubali tu .
Kisage kiwe unga ndo unywe...MI naona wengi wanatumia njia hii[emoji848]Ukubwa wa ARV moja Ni sawa na punje ya korosho. Unabwia daily mida ile ile. Aisee Ni taabu
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Nimewahi kutumia PEP siku 30 na zenyewe zina maluweluwe kama hizo ARV sina hamu, yaani mtihani. Nilibanduaga kavu kavu malaya aliyekubuhu bila kujua. Sema nilimfaidi sana maana alikuwa fundi kweli kweli.
Inareact vip mkuu?Daaa JF unaweza uonekane wewe una roho ya kifashisti kuchekelea matatizo ya wenzako, kumbe unacheka jinsi tatizo lilivyoelezewa...
Kuna shughuli nyingne inaitwa PEP 72HRS, ile unaweza ukainywa, baada ya masaa kadhaa unatafuta dawa uitapike,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] nyie wehu hamuogopiDaaah! Kwenye lishe hapo namkumbuka uncle . Alikuwa na shehena kabisa ya unga wa ulezi,alipofariki wacha tuushambulie na blue band zake[emoji38]
Ilikuwa mwaka gani hii?...wanaomeza dawa huwezi wakuta na haya maishu[emoji848]Miaka kadhaa huko nyuma nikiwa fm2 tulikuwa na wapangaji home, kati yao familia moja ilikuwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Nyumba ambayo walikuwa wanakaa wapangaji nilikuwa nikifungua dirisha la chumba ninachokaa naona kila kitu wanachokifanya. Asee hiyo siku mida kama ya saa 10 jioni nasikia mtu anakohoa huko njee kama dkk 5 mfululizo.
Ikabidi taraatibu niijisogeze kuchungulia nione nini kinaendelea, nilichokiona sikuamini yule baba alikuwa anatapika mfululizo matapishi yale yangeweza jaa ndoo ndogo ya lita 10, meusi kama ujii.
Acha aanze kuharisha, kinyesi kinachuruzika mpaka miguuni maana alikuwa amevaa bukta ,yule mama anamoyo amekazana tu kumfuta, anakimbia njee anaenda kuchota mchanga anafunika yale matapishi kisha anafagia.
Yule jamaa hakuchukua hata muda akafariki. Toka siku hiyo nilipata somo asee, nilijifunza kutunza afya,bora magonjwa mengine ukimwi udhalilisha na kufedhehesha, nilisema siwezi uza mechi,pamoja na ruka ruka zangu sijawahi gonga demu kavu hata nimkute bikra.