ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

Ugonjwa umekaa pabaya sheikh, acha utuue
 
Ni kweli asilimia kubwa ya watu wenye O+ hawapati HIV kirahisi, nina mfano hai wa mtu wangu wa karibu kabisa, miaka hiyo yule bwana na mahawara zake kibao walishaiacha dunia kwa ukimwi ila yeye yupo hadi leo, kila akipima ni negative
Acheni story za vijiweni..

Sikilizeni wataalamu wa afya wa avyosema.
 
Daaah nimeshuhudia hii makitu nin a ndugu zangu wa damu kabisa wanapitia hii hali ,yaan wanachoreka balaa.

Hapa kitaa siku ya kuchukua doz inajulikana kabisa kwa wiki mara mbili ,ukipita hayo maeneo haki hata kama ulikuwa na promise hiyo siku utapiga chini jumla.

Wanapewa had lishe ya unga wa ulezi ,sema nashukuru mungu wamekubaliana na hali maana hakuna namna.

Bahat mbaya wote wameupata kwenye ndoa zao ,kabla ya ndoa zao hawakuwa na mambo mengi ila walipo ingia kwenye ndoa ndio wakakutana na hii janga .

Ni mama zangu wadogo wapo wawil wote wameumia [emoji24][emoji24][emoji24] kibaya Zaid waume zao wote walishakata ,hivyo wameachiwa ngoma na ujane juu.

Wadau tuombe mungu tu ngoma unaweza kuipata hata kama sio mwingi wa mambo hii ni kama ajal tu.
Ila kuchoreka hakukwepek maana lazima tu utajulikana pengine ugome kunywa hizo arv ,

Kuna wengine wanawatumia manens ili wawaletee majumban mwao hizo dawa kwa malipo fulani , utafanya ivo lakin Kuna muda utajulikana tu maana Kuna siku itakulazim ufike physically hospital .

Kuna wengine wanachukulia hizo dawa mbali na mji anaoishi mfano mtu anaishi kawe dawa anachukulia mbagala huko lakin dunia Haina Siri utajulikana tu dawa ni kujikubali tu .
Mi ndugu yangu anaishi moro ila anachukulia mnazi mmoja...manesi anawapa mshiko wa maana maana mi ratiba zangu zilibana kuwa namtumia kwenye basi, so wao now ndo wanafanya hii shughuli

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nimewahi kutumia PEP siku 30 na zenyewe zina maluweluwe kama hizo ARV sina hamu, yaani mtihani. Nilibanduaga kavu kavu malaya aliyekubuhu bila kujua. Sema nilimfaidi sana maana alikuwa fundi kweli kweli.
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Daaa JF unaweza uonekane wewe una roho ya kifashisti kuchekelea matatizo ya wenzako, kumbe unacheka jinsi tatizo lilivyoelezewa...

Kuna shughuli nyingne inaitwa PEP 72HRS, ile unaweza ukainywa, baada ya masaa kadhaa unatafuta dawa uitapike,
Inareact vip mkuu?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Miaka kadhaa huko nyuma nikiwa fm2 tulikuwa na wapangaji home, kati yao familia moja ilikuwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Nyumba ambayo walikuwa wanakaa wapangaji nilikuwa nikifungua dirisha la chumba ninachokaa naona kila kitu wanachokifanya. Asee hiyo siku mida kama ya saa 10 jioni nasikia mtu anakohoa huko njee kama dkk 5 mfululizo.

Ikabidi taraatibu niijisogeze kuchungulia nione nini kinaendelea, nilichokiona sikuamini yule baba alikuwa anatapika mfululizo matapishi yale yangeweza jaa ndoo ndogo ya lita 10, meusi kama ujii.

Acha aanze kuharisha, kinyesi kinachuruzika mpaka miguuni maana alikuwa amevaa bukta ,yule mama anamoyo amekazana tu kumfuta, anakimbia njee anaenda kuchota mchanga anafunika yale matapishi kisha anafagia.

Yule jamaa hakuchukua hata muda akafariki. Toka siku hiyo nilipata somo asee, nilijifunza kutunza afya,bora magonjwa mengine ukimwi udhalilisha na kufedhehesha, nilisema siwezi uza mechi,pamoja na ruka ruka zangu sijawahi gonga demu kavu hata nimkute bikra.
Ilikuwa mwaka gani hii?...wanaomeza dawa huwezi wakuta na haya maishu[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom