steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Unachokitafuta utakipata tu,we endelea kupimapima tuuzi umenifanya nikapita kucheki aisee tuache ngono zembe na kula kimasihara View attachment 1820467
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachokitafuta utakipata tu,we endelea kupimapima tuuzi umenifanya nikapita kucheki aisee tuache ngono zembe na kula kimasihara View attachment 1820467
Mkuu fanya kupima ujihakikishie, ukiwa salama weka mafuta taa kwenye kila chakula ukate genyee[emoji2960][emoji2960]Daaah sijui ntakua nishawahi kumla huyo aunt wako,manake nilishawhi kuishi huko mida fulani na niliwapelekea moto sana mashangazi wazurizuri
Alisika muathirika mmoja.....ARV zikikutaa Lazima ujutee
We acha tu...hiyo ishu inatisha sana sana[emoji848][emoji22]Mara 100 kupiga nyeto kuliko kuukwaa
Genye ni hatari sanaMkuu fanya kupima ujihakikishie, ukiwa salama weka mafuta taa kwenye kila chakula ukate genyee[emoji2960][emoji2960]
Kujiendekeza tu[emoji848]Genye ni hatari sana
Abdallah kichwa wazi akichachamaa usimtanie kabisaKujiendekeza tu[emoji848]
Labda nyie jinsia pinzani...sisi kama kawa labda nitake tuAbdallah kichwa wazi akichachamaa usimtanie kabisa
Tuombeane tunusurike aisee,sio poaLabda nyie jinsia pinzani...sisi kama kawa labda nitake tu
Ni kweli aseeTuombeane tunusurike aisee,sio poa
Hiyo naiskia kwa watu kwamba ni nomaWe acha tu...hiyo ishu inatisha sana sana[emoji848][emoji22]
Nnzi kufia kwenye kidonda ni halali yakeWakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu, ule utelezi na joto-joto litakugharimu.
UPDATE
Kama umeoa bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.
**Wake zetu wagalatia si unajua vichwa vibovu!
Mkuu cha msingi nikujikinga tu ila ukimwi hauenezwi kwa ngono pekee.Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu, ule utelezi na joto-joto litakugharimu.
UPDATE
Kama umeoa bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.
**Wake zetu wagalatia si unajua vichwa vibovu!
Ukiwa na ukimwi inaweza pelekea cancer pia maana kinga hakuna.Hata mwenye ukimwi anaweza kupata cancer, Bora mwenye maumivu ya cancer bila ya ukimwi. kuliko upate ukimwi + cancer.
Nimecheka kwa sauti...... [emoji1787]
Adimu Sana,Afu saivi pakiti ni buku badala ya mia tanoHivi condom bado zipo?
aaah! Ev! yaaani kule ni kubaya? ona sasa! tumetoka huko huk0! na tuna rudi tena jamani!Mwee! ule utamu bana haunaga mpinzani majemedari wenyewe wanakomaga! sembuse nyarusare na Evelyn? ! daaa mnatuwezea kweli!Ugonjwa umekaa pabaya sana.
Tena nyie ke ndo kabisaa!! hainaga ustaa ile! kwenu nyie!!...... jifanye kukomaa uone kichaa chake! si unaijua ile ya Hyteria ya wasichana wa Boarding? wkt tunasoma mpaka shule zina fungwa au umeshasahau mara hii!Kujiendekeza tu[emoji848]