As Tanzanian Government is waiting for Arabs to build Stadium for them, County Government of Mombasa is building this huge stadium using its own money

As Tanzanian Government is waiting for Arabs to build Stadium for them, County Government of Mombasa is building this huge stadium using its own money

Ucheke ulie ukweli utabaki kuwa timu za Kenya huwa inatomba timu za Tanzania. Alafu ebu tuonyeshe hivo viwanja vizuri tuvione. Gor mahia will be beat Simba any time any time without any hardship.

Hata ubweke vipi, Tanzania itabaki kuwa na ligi kubwa na bora zaidi ukanda huu, Tanzania ina clubs tajiri zaidi ukanda huu, Tanzania ina viwanja bora zaidi vya mpira ukanda huu. Tanzania ndio iko na ligi ya pesa nyingi na ikiwa na wachezaji proffesional kuliko ligi yoyote ukanda huu. Hata ulie vipi hapa hiyo huwezi kuibadili.
 
Gor Mahia will rape those two little teams any day at any time.
Unaeza kuniambia hii road inaitwaje[emoji116][emoji116]
tapatalk_1595085277897.jpeg
 
Hata ubweke vipi, Tanzania itabaki kuwa na ligi kubwa na bora zaidi ukanda huu, Tanzania ina clubs tajiri zaidi ukanda huu, Tanzania ina viwanja bora zaidi vya mpira ukanda huu. Tanzania ndio iko na ligi ya pesa nyingi na ikiwa na wachezaji proffesional kuliko ligi yoyote ukanda huu. Hata ulie vipi hapa hiyo huwezi kuibadili.
Endelea kulia. Kama hizi ndio viuwanja bora basi ni kama Tanzania is not in planet earth 😂 😂
7300.jpg
2459527_mwinyi.jpg
 
Teargass,

Sasa uwanja hao constructors mmewatoa wapi kama sio nje. sidhan kama mmejitosheleza kwa kila kitu. afterall nyie hatuchekan
 
Au kama cha Majaliwa stadium pale Namungo. Jamaa ndio anaona bonge la uwanja kumbe vitu vya kawaida tu huku timu ziko na pesa zinajenga viwanja zenyewe.

Hivi kwanza huko kenya kuna ligi ya maaana kweli? Viwanja vya nini wanajenga na sisikii hata ligi yao ikiwa competitive ukanda huu?
Vwanja vyetu ni bora kuliko za Tanzania.
Daylight dreaming buddy! poor you!
 
Yaani barabara za Kenya ni high quality hadi mtanzania haeziamini kama iko Kenya kweli[emoji23][emoji23]
Barabara zenu zinajulikana rangi yake ndo mana nataka kuifatilia hii road cz nyie ni wezi wa roads za watu, hehehehee teargrass nakuahidi hii road ntaifatilia na nina uhakika hii road haipo kenya[emoji3][emoji3]
 
Barabara zenu zinajulikana rangi yake ndo mana nataka kuifatilia hii road cz nyie ni wezi wa roads za watu, hehehehee teargrass nakuahidi hii road ntaifatilia na nina uhakika hii road haipo kenya[emoji3][emoji3]
Google outering road, Donholm.
 
Nikasirike kisa viwanja vya kuchezea rede ambavyo havijafika hata level za viwanja vya mpira Tanzania! hayo yatakua matumizi mabaya ya makasiriko.

Halafu bila aibu unafungua uzi kupotosha eti uwanja wa mpira dodoma unajengwa na Morocco [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787] eti matumizi mabaya ya makasiriko.
 
Back
Top Bottom