As Tanzanian Government is waiting for Arabs to build Stadium for them, County Government of Mombasa is building this huge stadium using its own money

As Tanzanian Government is waiting for Arabs to build Stadium for them, County Government of Mombasa is building this huge stadium using its own money

Kwanini mnapoteza mda wenu kubishana na Kenya hao? Wanaongelea viwanja wakati takwimu zinaonyesha njaa karibu iwamalize.
 
Una uwalakini itakua hufuatilii hata habari, kuiita Tanzania nchi maskini inaonyesha jinsi gani unavyokurupuka
download.jpg
 
Hamna viwanja Tanzania.

Hahhaah halafu sikujua kama wewe ni fala hivyo.. au na hilo jengo la vioo nyuma ya uwanja nalo unatakla kusema ni sehemu ya nyayo stadium? Hii ndio Nyayo.

Nyayo.jpg

Halafu huo upupu wa picha ya uwanja na jengo la glass angalia wakunyawenzio wanavyopiga kelele kwa huu utopolo. Umechukua hapa.

 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sorry Teargass I can see u r going mad, Tz is a middle income country, no country with two status ever exist in the world.
Tanzania is among the poorest countries in the world. Kaa ukijua hiyo.
 
Hahhaah halafu sikujua kama wewe ni fala hivyo.. au na hilo jengo la vioo nyuma ya uwanja nalo unatakla kusema ni sehemu ya nyayo stadium? Hii ndio nyayo
View attachment 1510196

Halafu huo upupu wa picha ya uwanja na jengo la glass angalia wakunyawenzio wanavyopiga kelele kwa huu utopolo. Umechukua hapa


Asante kwa kutuonyesha Nyayo stadium ya 1980 hata before ikuwe na viti. That glass part is Nyayo stadium, najua hujazoea glassy things.
IN PICTURES: The new look Nyayo National Stadium, 95pc complete - Capital Sports
 
Tanzania is among the poorest countries in the world. Kaa ukijua hiyo.
Umeishiwa hoja ww unabaki kuruka ruka tu, hakuna nchi ikawa middle Income zen at the same time ikawa poor Country except Kenya ambayo ni middle finger country and at the same time a failed state.
 
Au kama cha Majaliwa stadium pale Namungo. Jamaa ndio anaona bonge la uwanja kumbe vitu vya kawaida tu huku timu ziko na pesa zinajenga viwanja zenyewe.

Hivi kwanza huko kenya kuna ligi ya maaana kweli? Viwanja vya nini wanajenga na sisikii hata ligi yao ikiwa competitive ukanda huu?
Hahaha!!ukimuona mtanzania analongo sana bila hata kutuonyesha picha, basi ujue anatapata hku akitafuta pa kutokea[emoji23][emoji23]
 
We bwege kweli ww[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]

Economy iko wapi hyo economy ambapo karne hii mnapewa msaada wa chakula, mnakufa kwa cholera mpk leo karne ya 21,

Health iko wapi ikiwa mpk leo Wakenya maelfu kwa maelfu wanakuja kutibiwa Tz and FYI hakuna nchi inawezana na Tz ktk modern health facilities narudia tena hakuna

Agriculture huna ardhi ww ya kutunishiana msuli na Tz, dunia nzima inajua kenya ni wakala wa kuuza mazao na co mzalisha mazao, kitu pekee mnalima ni maua ambayo pia % kubwa yanatokea Tz,

Trade, angalau kdg hapo kwenye trade cz nyie ni ma agent lkn hata hyo pia ishafutika cz makampuni mengi yaliyopo kenya yameanza kukimbilia Tz.

Education, [emoji3][emoji3][emoji3] mna elimu gn nyie mafala, elimu ambayo inawafanya mshindwe kuvumbua hata dawa ndogo tu ya corona mmebaki kuomba misaada km wanawake malaya, elimu gn mliyonayo mnashindwa hata kupanga mambo yenu wenyewe mnapangiwa na watu wa nchi zngne, elimu gn mnayo zaidi ya ku copy mambo kutoka Tz?

Infrastructure, huna za kulinganisha na Tz ambazo ni modern na economocally viable zaid zaid tu mnaringia miundombinu aliyowaachia mkoloni but nyie mmeishia kujenga mautopolo na kununua ma second hand.

Hayo mengine cna hata haja ya kuelezea cz yapo wazi.
Nyuzi zake zote hzo ulizikimbia hku zngine ukaanza kujitoa ufahamu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Better than all your stadiums.

Loosers as usual. Hakuna stadium ya ku match viwanja vyetu hapa Bongo. Hiyo nyayo tu imechapwa na Mwinyi stadium ya huko Tabora. Sasa mtaweza compee na kiwanja gani hapa Bongo? Nyinyi mko chini sana katika football game and its infrastructure in general. Hamna ubavu wa kujipima na Tanzania.
 
We bwege kweli ww[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]

Economy iko wapi hyo economy ambapo karne hii mnapewa msaada wa chakula, mnakufa kwa cholera mpk leo karne ya 21,

Health iko wapi ikiwa mpk leo Wakenya maelfu kwa maelfu wanakuja kutibiwa Tz and FYI hakuna nchi inawezana na Tz ktk modern health facilities narudia tena hakuna

Agriculture huna ardhi ww ya kutunishiana msuli na Tz, dunia nzima inajua kenya ni wakala wa kuuza mazao na co mzalisha mazao, kitu pekee mnalima ni maua ambayo pia % kubwa yanatokea Tz,

Trade, angalau kdg hapo kwenye trade cz nyie ni ma agent lkn hata hyo pia ishafutika cz makampuni mengi yaliyopo kenya yameanza kukimbilia Tz.

Education, [emoji3][emoji3][emoji3] mna elimu gn nyie mafala, elimu ambayo inawafanya mshindwe kuvumbua hata dawa ndogo tu ya corona mmebaki kuomba misaada km wanawake malaya, elimu gn mliyonayo mnashindwa hata kupanga mambo yenu wenyewe mnapangiwa na watu wa nchi zngne, elimu gn mnayo zaidi ya ku copy mambo kutoka Tz?

Infrastructure, huna za kulinganisha na Tz ambazo ni modern na economocally viable zaid zaid tu mnaringia miundombinu aliyowaachia mkoloni but nyie mmeishia kujenga mautopolo na kununua ma second hand.

Hayo mengine cna hata haja ya kuelezea cz yapo wazi.

Ushamaliza kupayuka? Now let me show you some facts.

1. Infrastructure
Infrastructure in Africa: The growth essential
2. Roads. Kenya 21,000km of paved roads while Tz only has 10,000km. This is a list of countries with the best quality roads.
Top 10 African countries with quality roads – South African Road Federation – SARF

3. Education
Top 10 African Countries With The Best Educational System (2020)

4. Health
Top 10 Countries with Improved Healthcare System in Africa 2020 | The African Exponent.

5. Best hospitals in Africa.
https://hospitals.webometrics.info/en/Ranking_africa

6. Economy
Africa’s Top 10 wealthiest countries ranked by GDP | IT News Africa - Up to date technology news, IT news, Digital news, Telecom news, Mobile news, Gadgets news, Analysis and Reports
 
Back
Top Bottom