As Tanzanian Government is waiting for Arabs to build Stadium for them, County Government of Mombasa is building this huge stadium using its own money

As Tanzanian Government is waiting for Arabs to build Stadium for them, County Government of Mombasa is building this huge stadium using its own money

Wakenya unajirudisha nyuma sana kiakili na kiupeo kila mara mnapotaka kujilinganisha Tanzania katika mambo ya kimaendeleo.

Kenya na wakenya mpo hatua nyingi sana mbele kimaendeleo kuliko Tanzania (ukiondoa suala la kijamii ambapo sisi watanzania tumewaacha mbali sana).

Ni upumbavu wa kiwango cha juu kwa tai kujilinganisha na kuku au simba kujilinganisha na paka.
Maendeleo yapi yaliyoko Kenya mkuu? Nchi ambayo mpka saa hii raia wake mlo tu hawana uhakika nao.
 
Maendeleo yapi yaliyoko Kenya mkuu? Nchi ambayo mpka saa hii raia wake mlo tu hawana uhakika nao
Hao ndio miongoni mwa wale ambao kasumba iliwaelemea but nowadays everything is open na watu wameona.
 
Ali Hassan Mwinyi Stadium. Tabora huko... Vya Dar hamviwezi.View attachment 1510172View attachment 1510173
Be serious my friend. Compare and Contrast.
Nyayo Stadium
EdBNMFmWsAE4IU7.jpg


Ali Hassan Mwinyi Stadium. 😂 😂 😂
2459527_mwinyi.jpg
 
Correctly u would say "Where will Kiswahili take me? Or how will it help me? (Or how it helps me?) you don't know both Kiswahili and English.
Ujinga ya Mtanzaia ni nyingi sana. What`s the problem with " How will it help me?" Why do you want me to use your version and not mine? If you don`t answer this question then you will be the greatest fool in this forum.
 
Mombasa county and Jubilee are two different entities you fool, this project is getting built by Mombasa and not Jubilee.
Mwambie uwanja unajengwa na serekali ya jimbo la Mombasa na siyo serikali kuu atakuelewa.
 
Vipi WB wanawapa lini tena mkopo wa kuwakomboa kweye janga la Covid
Tofauti ya mkopo na msaada ni kuwa mkopo utalipwa uko mbeleni while grants you are given out of sympathy. Grants are for poor countries like Tanzania.
 
Tofauti ya mkopo na msaada ni kuwa mkopo utalipwa uko mbeleni while grants you are given out of sympathy. Grands are for poor countries like Tanzania.
If u show me an evidence that indicates Tz is a poor country I shall leave Jamii Forum.
 
Ulivyo zuzu umechukua picha inayoonesha nyuma ya uwanja halafu unataka kufanya comparison na picha inayoonesha pitch! Weka hiyo inayoonesha pich na majukwaa halafu ndio ufanye compee
Hamna viwanja Tanzania.
 
Tofauti ya mkopo na msaada ni kuwa mkopo utalipwa uko mbeleni while grants you are given out of sympathy. Grants are for poor countries like Tanzania.
Una uwalakini itakua hufuatilii hata habari, kuiita Tanzania nchi maskini inaonyesha jinsi gani unavyokurupuka
 
Back
Top Bottom