Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Simba wanapata bao la moja kupitia kwa Emmanuel Okwi. Ikiondoka kurudi home kujiandaa na mechi ya marudio. Nmeiona game.ni kali yenye mpira mzuri wa kushambuliana sana.
Mchawi ambaye ametumwa na watu flani kuiharibia simba leo ni shaffi dauda. Ambaye ushindi wa simba wa bao 3 dhid ya Soura umemtesa sana sababu alitaka maneno yake yatimie
Leo pia atakuwepo Congo amepewa dawa na watu wa AS Vita kwa ajili ya kuwakwamisha simba. (Teknolojia ya mtu mweusi) kama hutaki acha. Ila SIMBA MMEMKARIBISHA NYOKA AMBAYE MTAKAPOPOTEZA HII MECHI ATAENDA KUTAMBA INSTA. HUYO HAMKUPASWA KUWA NAYE KARIBU HIVYO.
Mchawi ambaye ametumwa na watu flani kuiharibia simba leo ni shaffi dauda. Ambaye ushindi wa simba wa bao 3 dhid ya Soura umemtesa sana sababu alitaka maneno yake yatimie
Leo pia atakuwepo Congo amepewa dawa na watu wa AS Vita kwa ajili ya kuwakwamisha simba. (Teknolojia ya mtu mweusi) kama hutaki acha. Ila SIMBA MMEMKARIBISHA NYOKA AMBAYE MTAKAPOPOTEZA HII MECHI ATAENDA KUTAMBA INSTA. HUYO HAMKUPASWA KUWA NAYE KARIBU HIVYO.