Asah Mwambene: Absalom Kibanda hana vigezo vya kuwa mhariri

Asah Mwambene: Absalom Kibanda hana vigezo vya kuwa mhariri

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2009
Posts
2,653
Reaction score
266
Jana katika mahojiano yake na Sauti ya Amrican VOA, Mkukurugenzi wa Idara ya habari amesema kwamba anashangaa kuona baadhi ya watu wanalalamika kuhusu kufungiwa kwa gazeti la mtz.

Amesema kwamba hata muhariri wa Mtanzania hana vigezo vya kuwa muhariri wa gazeti.


MY TAKE:
Kumbe Muhariri wa mtz hana sifa hata ya kuwa muhariri?
Sasa inakuwaje kampuni kama newhabari inaajiri vihiyo au nia ya kutaka kuifilisi hii kampuni

PIA, SOMA:

- Absalom Kibanda (Mwenyekiti wa Jukwa la Wahariri) avamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa

 
hata yeye Asa Mwambene hana Vigezo vya kuwa msemaji wa serikali, wote tunajua uwezo wake na kwamba ni sawa na houseboy wa Membe, amewekwa hapo ili ku protect interest za wauaji Membe na Zoka walioagiza kuuawa kwa Ulimboka. Inashangaza anapata wapi confidence ya ku treat wengine kama wapangaji, nani kamwambia hii nchi ni yake, ndio maana nashauri Mtanzania na Mwananchi wampeleke mahakamani kama Yeye aonyeshi hiyo sheria inayompa mamlaka ya kufanya hivyo, aje hapa atuonyeshe, na vigezo villivyompa ukurugenzi wa Maelezo, tunawajueni wakina Mwambene.

Simtetei kibanda maana na yeye angekua na kigezo asingekubali kufanya kazi na mtu ambaye sio mhariri, aliyefungiwa na chama cha wahariri ambayo ni professional association inayotunza ethics za waandishi ambayo yeye ni Mwenyekiti, ni sawa na NBAA imvue mtu wa CPA halafu Utto ama kaka yangu Maneno afanyenaye kazi ofisi moja, hii ni criminal professionally, sema cha kushangaza ni kwa nini wahariri bado wanamkumbatia Kibanda kama mwenyekiti? wamtoe, ndio maana Kubenea alikataa kushirikia vikao vyao vya kununuliwa na NHC na funds authorities kwa kusema kwamba hawana moral, Kibanda ashughulikiwe na Mwambene pia ashughulikiwe, wote wanatumika, after all hata hayo magazeti ya mtanzania hayana mchango wowote katika jamiil, wafungiwe waandike vyote sawa kwa kuwa wanajiandikia wenyewe na kutumiwa na Lowasa kutafuta urais, sio magazeti ya kuelimisha jamii, sema tunataka Rostam kama kweli ni fisadi, amshughulikie Membe maana kaota mapembe sana kwa kujua mkuu ni dhaifu
 
poor me kumbe sijaelewa. absolume hawezi kuwa muhariri ila na Absalom ana sifa ya kuwa mhariri. kumbe unazungumzia watu wawili tofauti.mmoja mi muhariri wakati mwingne ni mharirh
 
Jana katika mahojiano yake na Sauti ya Amrican VOA, Mkukurugenzi wa Idara ya habari amesema kwamba anashangaa kuona baadhi ya watu wanalalamika kuhusu kufungiwa kwa gazeti la mtz.
Amesema kwamba hata muhariri wa Mtanzania hana vigezo vya kuwa muhariri wa gazeti.


MY TAKE:
Kumbe Muhariri wa mtz hana sifa hata ya kuwa muhariri?
Sasa inakuwaje kampuni kama newhabari inaajiri vihiyo au nia ya kutaka kuifilisi hii kampuni

kwa vigezo vipi? hebu tuwekee CV zake vinginevyo we na Mwambene ndo vihiyo
 
Na hata Mullinda hana Vigezo vya kuwa mhariri.Kuna kipindi aliandika siri za Mauaji CHADEMA akawa anaandika utumbo mtupu
 
Jana katika mahojiano yake na Sauti ya Amrican VOA, Mkukurugenzi wa Idara ya habari amesema kwamba anashangaa kuona baadhi ya watu wanalalamika kuhusu kufungiwa kwa gazeti la mtz.
Amesema kwamba hata muhariri wa Mtanzania hana vigezo vya kuwa muhariri wa gazeti.


MY TAKE:
Kumbe Muhariri wa mtz hana sifa hata ya kuwa muhariri?
Sasa inakuwaje kampuni kama newhabari inaajiri vihiyo au nia ya kutaka kuifilisi hii kampuni

Hivi imekuaje umenusurika na oparesheni kimbunga!??
Lazima urudi kwenu Bukavu sio kutuchafulia hali ya hewa hapa.
 
Muhariri ndo nani? Unaijua cv ya kibanda au umekubali kumezwa na mawazo ya huyo jamaa.tusome jamani,kwani elimu itatuweka huru. Haya nakupa home work tafuta wasifu wake then uje tena tujadili
Yeye Mkukurugenzi wa Idara ya habari Maelezo nafasi yake ilitangazwa chombo gani cha habari na ni nani na nani walikuwa short listed mpaka kumpata yeye ili naye atuaminishe kuwa na vigezo vya kukalia nafasi aliyonayo!
 
Jana katika mahojiano yake na Sauti ya Amrican VOA, Mkukurugenzi wa Idara ya habari amesema kwamba anashangaa kuona baadhi ya watu wanalalamika kuhusu kufungiwa kwa gazeti la mtz.
Amesema kwamba hata muhariri wa Mtanzania hana vigezo vya kuwa muhariri wa gazeti.


MY TAKE:
Kumbe Muhariri wa mtz hana sifa hata ya kuwa muhariri?
Sasa inakuwaje kampuni kama newhabari inaajiri vihiyo au nia ya kutaka kuifilisi hii kampuni

Mwenye kujua CV za Mwambene na Kibanda zishushwe hapa ili tufanye comparative analysis; vinginevyo hata Mwambene hana sifa ya kuwa katika nafasi aliyo nayo; kama anabisha; come clean Mwambene, shusha CV yako hapa tukate mzizi wa fitina.
 
Msichanganye mambo. Kibanda hana tatizo. Wasio na sifa ni wahariri wake kama Mulinda na Kulwa Karedia.. Funny names!- uelewa wao unaishia Sinza
 
hata yeye Asa Mwambene hana Vigezo vya kuwa msemaji wa serikali, wote tunajua uwezo wake na kwamba ni sawa na houseboy wa Membe, amewekwa hapo ili ku protect interest za wauaji Membe na Zoka walioagiza kuuawa kwa Ulimboka. Inashangaza anapata wapi confidence ya ku treat wengine kama wapangaji, nani kamwambia hii nchi ni yake, ndio maana nashauri Mtanzania na Mwananchi wampeleke mahakamani kama Yeye aonyeshi hiyo sheria inayompa mamlaka ya kufanya hivyo, aje hapa atuonyeshe, na vigezo villivyompa ukurugenzi wa Maelezo, tunawajueni wakina Mwambene.
Sikuwahi kufikiri kwamba Membe angekuwa kwenye mchezo huo mchafu. Kumbe ni mtu hatari kiasi hiki! No wonder anaota kuoteshwa mapembe.
 
Muhariri ndo nani? Unaijua cv ya kibanda au umekubali kumezwa na mawazo ya huyo jamaa.tusome jamani,kwani elimu itatuweka huru. Haya nakupa home work tafuta wasifu wake then uje tena tujadili

Sahihisho.......amesema MUHAHARIRI
 
Kuna ka ukweli lakini! Mwambene ni uteuzi wa Rais hata kama hizo sifa za vitabuni hana mteuzi wake anaweza kuona anafaa. Mbali na hilo nadhani ana Masters huyo kijana. lakini Kibanda mmh! ni majanga!. Labda tuseme tu kwamba Uandishi wa habari ni art, wapo ambao hawakuona hata darasa la journalism ni waandisi wazuri tu. Tena hasa ukigusa maadili ndo basi tena. Mafisadi wangapi wenye maPh.D wanaboronga mambo huku miiko wakiijua? Maadili ni zaidi ya kuwa na digrii ama diploma.


Sahihisho.......amesema MUHAHARIRI
 
wamelifungia mwanahalisi wakadhani wamenyamazisha sauti ya umma,sasa magazeti yao ya chama yanawageuka.
 
Kama gazeti haliandiki vizuri si mnaliacha. Hivi ninani aliwambia wananchi wasi some gazeti la Uhuru?
 
Kibanda ni mhariri wa NHC

Charles Mullinda ni Mhariri wa Mtanzania

NHC inajumuisha Rai,Mtanzania,Dimba nk.
 
ASSAH Mwambene, ka CV kamejaa kiasi kwani kama sijakosea alimaliza TSJ baada ya kuhamia Michokeni ooops mikocheni 1997, akagonga diplomasia, akagonga masters akafanya kazi vyombo vya habari kama TSN, Maelezo Akapotea kwa muda Fulani then akaibukia wizara ya Mambo ya nje kama msemaji wake then akaibukia Maelezo kama Mkurugenzi. Inasomeka na inakubalika kukalia kiti alichonacho sasa, kwani nani zaidi anafaa pale?
 
Back
Top Bottom